germstone jnr
Member
- Dec 27, 2011
- 28
- 3
Nimevutiwa sana na jinsi wana JF mnavyo share uzoefu ktk mambo mbalimbali na hasa ktk mambo ya kizalendo yanayahusu mustakabali wa Nchi yetu.Nimetamani pia kuwa mmoja wenu n i hope mtanipokea.HERI YA X-MASS ILIYOPITA,.MWL J.K. alisema uhuru na kazi,sasa 2na hali mbaya zaidi ktk vita dhidi ya maadui watano wakubwa(1)haki waliyojimilikisha watawala kuamua kwa faida yao,kwa niaba yetu (2)ufisadi (3)umaskini (4)ujinga{wa kutodai haki zetu na kungojea kupewa na watawala tukiwa na uhakika wa kutopewa pamoja na ule wa darasani} (5)maradhi. Hivyo sasa iwe MIAKA 50 YA UHURU WA BENDERA NA KAZI ZAIDI ILI KUELEKEA UHURU KAMILI WA KIFIKIRA NA KIUCHUMI.Maisha bora yanawezekana yakidaiwa.