Hizi ndizo Picha za RayC Alivyoathiriwa na Madawa ya Kulevya-Inatia Huruma

Enzi ZAKE


533793_419379721460979_1648928034_n.jpg
 
Pole Ray C na Mungu akulinde kwani huu ni mtihani kwako na fundisho kwa wengine. Mi sikulaumu wewe na siwezi kukulaumu kwani sina uwezo huo kwako. Mi naona tatizo kubwa la wasanii wa fleva na haswa hawa vijana wa dot com ni ujinga wa kuiga vitu bila kuona mbali. Sisemi kwa mabaya ila natoa tu tahadhari kwani hapo juzi Diamond kaanza kubong'oa hadharani na kuonyesha chupi iliyojaa jasho la mk.undu wake kwa potential lovers (mabasha). Leo nikija sikia Diamond kaharibikiwa kuwa anafirwa sitoshangaa kwani siku zote huwa nyota njema huonekana alfajiri.
 
Mungu ulieumba mbingu na ardhi tuonee huruma sisi waja wako hakika ni wakosefu na si lolote si chochote tuepushie hii mitihani haswa huyu mwenzetu Ray C na wengineo.Tuzindue tulio bado tuko gizani kwa kuzani vya dunia ni vizuri kuliko vya kesho mbele ya mamlaka yako tukufu
AMINI
 
Wazazi kwa kweli wanatakiwa kufuatilia kwa karibu nyendo za watoto wanaoingia kwenye fani hizi za miziki na uigizaji.

Wasichana mbona wanaharibikiwa hivi? Je watoto wa kiume nao wanaathirika hivi?
Je wakina baba nao wanakuwaga wapi watoto wanavyoharibika?
Huyu amenikumbusha ishu ya Lulu!
Wasichana jamani angalieni msilewe umaarufu.

Umeona eeh?
Sijui ni ulimbukeni wawazazi jawajui ni kipi kinafaa na kipi hakifai kwa watoto wao
wao wanashangilia upuuzi wa watoto wao kutembea uchi kufanya mambo yasiyoendana na tamaduni zetu na ya aibu kabisa.

Inauma sana!
 
Kila mtu anawajibika kwa matendo yake mwenyewe, kumlaumu mtu mwingine eti alimfundisha ni kukwepa uwajibikaji kwa matendo ya mtu. Na wataenda wengi katika njia ya rehema chalamila kutokana na ulimbukeni wao wa kujiona wamefanikiwa na kutaka kujaribu kila kitu
 
So SAAD!!! Kweli poda mbaya manaake huyu dada alivyokua mrembo yani ndo kawa kikokongwe namna hii?
 
Macelebu, kutoboa masikio, tatoo, kata k, majicheni, kujichubua, misifa ya kijinga hatimaye ndio hivyo.
 
bado sikubaliani na wewe!!mbona wewe sio teja?from what i hear ni kwamba dada alikuwa na kwanja mrefu..stress za nini?mapenzi?huyu ni kutaka umaarufu tu hakuna kingine,.na bahati yake bongo kuna brown sugar,wangekuwa wanabwia white sugar keshakufa saa hizi!by the way,kama unamuonea sana huruma mpeleke rehab.

You are so mean nyabhingi! Samahani ila nadhani wewe bado kijana mdogo siku ukiwa mzazi utaguswa na matatizo kama haya kwa vijana. Utaomba rehema ya Mungu badala ya kuhukumu, utaomba ulinzi wa Mungu kwa wanao badala la kudhihaki mtoto wa jirani aliyepotea kimaadili.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom