Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,942
- 36,897
Ahahahah.Laki 6 tu
TEMESA kuzuri sasa, hiyo laki 6 analipwa fundi mtoto
Ahahahah.Laki 6 tu
Shukran sana mkuu, ngoja tuendelee subiria maajabu ya MunguMkuu TANAPA, TFSA, TAWA, NCAA, na taasisi nyingine zote zinazodeal na utalii na maliasili kiujumla ziko vizuri
Sawa mkuuHao ni Agency, bila shaka salary zitakuwa zipo ki-Agency hivi
Hahaha nchi ngumu hii majeshi siku hizi yameanza kujineemesha, ndio maana juzi hapa bungeni wametoa cheti cha jkt na jku kama kigezo kimojawapo cha kujiunga na majeshi, ili wapate kuingiza watoto wao ambao hawataki kusota jakataNimekuelewa mkuu.
Ila hii nchi ina uonevu.
Form four anampita mshahara mtu mwenye degree.
Dahh
Wanajeshi walianza kupiganiwa na kikwete ndio maana wana vitambi , Kikwete alitoa pesa sana ,kwanza wana mikopo mizuri kuliko hata walimu ... Kuanzia mwaka 2010 hata watu waliokuwa form six walikimbilia jeshini kwa sana ,kwa sasa sijajua kama wameongezew maslahi ila jamaa mpaka vitu wananunua kwa bei ya chini kweny maduka ya kambini.Haha nchi ngumu hii majeshi siku hizi yameanza kujineemesha, ndio maana juzi hapa bungeni wametoa cheti cha jkt na jku kama kigezo kimojawapo cha kujiunga na majeshi, ili wapate kuingiza watoto wao ambao hawataki kusota jakata
Wakati zamani kazi za majeshi zilionekana ni za kizalendo na kimbilio la watoto wa masikini, na zilidharaulika sababu ya maslahi madogo, ila siku hizi wakubwa nao wanawapigania watoto wao waingie huko
Tena kama JWTZ ndio kabisa miaka hii hata hawatangazi wanaitana kimya kimya, unakuja tu kushitukia askari 3000 wameapa Kihangaiko, hujakaa sawa mara maafisa 500 wameapa Monduli wote wameingia kwa connection
Ni balaa polisi mwenye nyota moja na ana degree kumbuka mpaka kupata hiyo nyota kasota si chini ya miaka minne na bado anakunja 950k salary lakini jeshini form four tu anakunja million na zaidi. Hahaha maisha hayapo fair kabisa yaniNimekuelewa mkuu.
Ila hii nchi ina uonevu.
Form four anampita mshahara mtu mwenye degree.
Dahh
Na siku hizi uafisa unapatikana kama karanga.Hahaha nchi ngumu hii majeshi siku hizi yameanza kujineemesha, ndio maana juzi hapa bungeni wametoa cheti cha jkt na jku kama kigezo kimojawapo cha kujiunga na majeshi, ili wapate kuingiza watoto wao ambao hawataki kusota jakata
Wakati zamani kazi za majeshi zilionekana ni za kizalendo na kimbilio la watoto wa masikini, na zilidharaulika sababu ya maslahi madogo, ila siku hizi wakubwa nao wanawapigania watoto wao waingie huko
Tena kama JWTZ ndio kabisa miaka hii hata hawatangazi wanaitana kimya kimya, unakuja tu kushitukia maaskari 3000 wameapa Kihangaiko, hujakaa sawa mara maafisa 500 wameapa Monduli ukiuliza wote wameingia kwa connection
Kuko njemaWanajeshi walianza kupiganiwa na kikwete ndio maana wana vitambi , Kikwete alitoa pesa sana ,kwanza wana mikopo mizuri kuliko hata walimu ... Kuanzia mwaka 2010 hata watu waliokuwa form six walikimbilia jeshini kwa sana ,kwa sasa sijajua kama wameongezew maslahi ila jamaa mpaka vitu wananunua kwa bei ya chini kweny maduka ya kambini.
Polisi wanakula Kaz ngumu mno kuliko maslahi yaoNi balaa polisi mwenye nyota moja na ana degree kumbuka mpaka kupata hiyo nyota kasota si chini ya miaka minne na bado anakunja 950k salary lakini jeshini form four tu anakunja million na zaidi. Hahaha maisha hayapo fair kabisa yani
Unajua mishahara ya junior officers Tpdf?Bado kuna kagape kakubwa. TPA mlinzi daraja la 3 yule entry level analipwa 1.3 na posho zake zikiwekwa pamoja ni zaidi ya mshahara.
TRA driver anakunja 1.5 huyo anayeanza kazi.
TPDC pesa anayolipwa Mhandisi daraja la pili unaweza kuwalipa maafisa wa ngazi ya chini wa TPDF 3.
Si chini ya 2.4
Wanajeshi walianza kupiganiwa na kikwete ndio maana wana vitambi , Kikwete alitoa pesa sana ,kwanza wana mikopo mizuri kuliko hata walimu ... Kuanzia mwaka 2010 hata watu waliokuwa form six walikimbilia jeshini kwa sana ,kwa sasa sijajua kama wameongezew maslahi ila jamaa mpaka vitu wananunua kwa bei ya chini kweny maduka ya kambini.
Mkuu kwa mambo ya ndani wanaokula kazi ngumu ni magereza ila maslahi yao ni madogo kuliko hata polisi, maana polisi wana vitengo vingi vya kupatia maokoto ya pembeni, polisi course yao ni ndefu kuliko wote ila ni kwa vile muda mwingi wanautumia darasaniPolisi wanakula Kaz ngumu mno kuliko maslahi yao
Ndugu hawa vijana wanapelekwa vyuo tofauti hapa nchini na nchi za nje.Mkuu hii ya Monduli naona kama haijakaa sawa kidogo course ya officer cadet ni mwaka mmoja ukiacha wa degree za military science ambao wao ni miaka mitatu, na huwa wanachukua intake moja tu kila mwaka hawawezi kuchukua intake zaidi ya moja mfano mwaka jana waliapa mwezi wa kumi na moja tu, hakukuwa na intake nyingine iliyoapa mwaka jana zaidi ya hiyo na mwaka juzi pia hivyo hivyo waliapisha intake moja tu
Ila Chief sio polis wote wanapata vitengo wengine ni njaa tupuMkuu kwa mambo ya ndani wanaokula kazi ngumu ni magereza ila maslahi yao ni madogo kuliko hata polisi, maana polisi wana vitengo vingi vya kupatia maokoto ya pembeni, polisi course yao ni ndefu kuliko wote ila ni kwa vile muda mwingi wanautumia darasani
Kuna Mmoja namjua polisi mstaafu amestaafu baada ya miaka mitano Hana kituPolisi wanakula Kaz ngumu mno kuliko maslahi yao
Yeah wapo wanaopata course monduli na wengine nje, ila mwisho wa siku lazima wakutane kwenye graduu ambayo ni mara moja kila mwaka, kambi inayoweza kutoa intake zaidi ya moja kwa mwaka ni rts ya maaskari ndio unaweza kukuta course mbili tofauti zinapigwa kwenye kambi mojaNdugu hawa vijana wanapelekwa vyuo tofauti hapa nchini na nchi za nje.
Karibu kila baada ya miezi 3 au 4 wanamwagwa makambini.
Yes si wote wanapata mafunzo MONDULI lakini hukutana mwishoni kwa kutambuana na kufanya rehearsal pamoja kabla hawajavalishwa uchawi (nyota).
Unaweza kunieleza zaidi maana Mimi sio mjeshi na sijui mengi ya huko