Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,036
endelea na shuhuli zako achana na wapuuzi.
tayari NPO mkoa mwngn kbs na hawajui nipo mkoa upi kikazi na namba zangu hawana Ila kuna dogo mmoja upande WA ma mdogo ni WA kike ananikubali kinyama yaani hata nikipotea vp atapambana mpk anipate uzuri Naye hamkubali Mzee wala shangaz zake. Na anajua fika sina shida na mama ake Ila wabaya ni kina shangazi huyu ndo huwa kidogo tunawasiliana Sana pia yupo dogo WA aunt yng ndiye kufa na kuzkana maana misimamo yetu inaendana kuhusu ndugu.Sasa cha muhimu fanya mambo yako ikiwezekana makazi yako yawe mbali kabisa na makazi yao.
Kama wanaishi mkoa huu wewe hama huo mkoa ukaanze maisha yako... Kama ni ndugu utawapata tu ambao ni majirani au watatoka kwenye kiuno chako
Kwani wewe ndo mtoto wa kiume pekee katika hiyo familia ?tayari NPO mkoa mwngn kbs na hawajui nipo mkoa upi kikazi na namba zangu hawana Ila kuna dogo mmoja upande WA ma mdogo ni WA kike ananikubali kinyama yaani hata nikipotea vp atapambana mpk anipate uzuri Naye hamkubali Mzee wala shangaz zake. Na anajua fika sina shida na mama ake Ila wabaya ni kina shangazi huyu ndo huwa kidogo tunawasiliana Sana pia yupo dogo WA aunt yng ndiye kufa na kuzkana maana misimamo yetu inaendana kuhusu ndugu.
tatu Nina marafiki zangu wawili hao ni zaidi ya ndugu kbs nilisoma nao advance na chuo mmoja ni pastor mwngn ni advocate sjawahi pata shida hata kidogo wasje aisee.
tayari NPO mkoa mwngn kbs na hawajui nipo mkoa upi kikazi na namba zangu hawana Ila kuna dogo mmoja upande WA ma mdogo ni WA kike ananikubali kinyama yaani hata nikipotea vp atapambana mpk anipate uzuri Naye hamkubali Mzee wala shangaz zake. Na anajua fika sina shida na mama ake Ila wabaya ni kina shangazi huyu ndo huwa kidogo tunawasiliana Sana pia yupo dogo WA aunt yng ndiye kufa na kuzkana maana misimamo yetu inaendana kuhusu ndugu.
tatu Nina marafiki zangu wawili hao ni zaidi ya ndugu kbs nilisoma nao advance na chuo mmoja ni pastor mwngn ni advocate sjawahi pata shida hata kidogo wasje aisee.
Mzee akikubali wewe kuliko hata mkewe????
Na shangazi zako je???
Kwani Nini wasikukubali wewe uzao wao???
Kwani Sasa upo mkoa gani Mkuu
Kwanini hukukaa na mzee wako umwulize tatizo liko wapi?
Mzee wako anayo haki ya kuamini aliyoambiwa na kukuona una kiburi sababu mmekutana mara kadhaa na hukuwahi kukana anayokutuhumu nayo.
Kama ungefunguka mbele ya babaako akajua ukweli kwamba unasingiziwa, kuna namna angekuchukulia ila sio kumsikiliza na kuondoka bila kujua tatizo na kujiweka wazi kwake kwamba iko hivi na hivi.
Mpaka muda huu umeacha sintofahamu kubwa kwa babaako kitu ambacho kinamfanya akufikirie vibaya japo sivyo ulivyo
Kwa kifupi tu hapa huwezi pata laana hata ikiachwa ila utakuwa umeshapoteza uaminifu kwa babaako.
Dawa ya moto ni moto!
Kilichobaki mbele yako focus kwenye mambo yako ya msingi tu maana umeshachafuliwa vya kutosha.... Songa mbele wale waliokuharibia ndio watakuja kujipendekeza kwako.
Na ikitokea wakaja kujipendekeza watumie kwa manufaa yako tu au uwageuze kama misukule maana wamekuchonganisha na dingi yako
Kiuhalisia Mimi ndiye mtoto WA Kwanza na wakiume kwny familia.Kwani wewe ndo mtoro wa kiume pekee katika hiyo familia ?
Huyo Ni baba yako mzazi au baba mdogo wako?Mkoa siwezi sema mkuu si unajua. Ila nipo kanda ya ziwa.
Kutonikubali kwao ilikuwa kimaslahi Tu maana Mzee alikuwa njema kiuchumi kuliko ndugu zake wote na walikuwa wanamtegemea Sana sa alipoanza hamishia nguvu kwangu na Mimi nilivyokuwa najaribu kuangalia sn maslahi ya familia Kwanza kuliko wengne ikaanza kuwapa shida ndugu WA Mzee ukizngatia hao akina aunt ndo wakimpindua mama na kufanya house awe mama mwny nyumba.
Kuhusu ma mdogo nadhan hofu yake ilikuwa endapo taendelea kushika hatamu Kwa Mzee uwenda swala la Maza kupinduliwa ningeliibua ikampa shida sn pale kwenye mji wake ikabd awe upande WA WiFi zake wanipindue kama walivyompindua maza
Mi ndiye first born mkuu. Wanaume tuko watatu dogo anayefuata WA tatu ni WA kiume bt Naye ni kama Mzee hamtambui maana shangazi walimwambia Mzee Yule si mtoto wake kwahiyo hatambuliki. WA kiume mwngn ni ma mdogo bado mdogo sn yupo standard one.Pole sana ndugu yangu
Nikuulze kitu,,kwa baba wewe ni mtoto wa ngapi? Je wanaume mko wangapi kwa baba? Je mama yetu yuko wp kwa sasa?
Mtoto WA Kwanza. Mama yupo kwao huko miaka mingi sasa Ila huwa tunawasiliana. Kuna thread niliiweka humu khs namna ilivyotokea khs yeye kuondoka na nn kilifuataPole sana ndugu yangu
Nikuulze kitu,,kwa baba wewe ni mtoto wa ngapi? Je wanaume mko wangapi kwa baba? Je mama yetu yuko wp kwa sasa?
Kaza kutafuta maisha mkuuNi Baba mzazi kbs tena copyright kbs Kwa Kila kitu hata huulzi mpk pozi znafanana
Aisee! pole sanaMimi kwa mzee nimetoka Kikwete akigombea awamu ya kwanza. Nilipatembelea tena mwaka 2011 na sijarudi tena. Leo hii sipakumbuki, naweza kwenda endapo tu mke wake atakuwa safari ya mbali. Mambo ya kuhatarisha usalama wangu sitaki
Aisee kama tunafanana mzee ila yangu yamezd.Habari wakuu.
Mmebarikiwà sana na Mungu WA Mbinguni.
Nilileta thread moja humu kuhusu kutokuwa na mapenzi na mama yangu. Nilipata kitu kikubwa toka kwenu. Ngoja Leo niwashirikishe na hili la Mzee wangu.
Mzee wangu alikuwa ananikubali Sana sana kitu ambacho niligundua kulikuwa kinatishia masirahi ya baadhi ya ndugu zake hasa shangazi zangu na ma mdogo ambaye alimpindua mama.
Mikakati mingi Mzee alikuwa akinishirikisha mpka kuwaongoza madogo pale home.
Kuna tukio lilitokea home Yule ma mdogo alikuwa na mdogo wake pale home mdogo sn kwangu maana alikuwa kidato cha pili Mimi ndo nmehitimu yaani nimegraduate mwaka huo.
Yule dogo alikuwa na kiburi sana aisee japo kwangu haikuwa shida maana alikuwa anavuta mpk bangi na ni mtoto WA kike. SKU moja nilikutana Naye njiani akanipta Tu Hana hbr mmmh nikamulza mbona hatupeani salamu eeeh kajibu hovyo kweli nilikawasha kibao Kila mtu akaendelea na Safari yake.
Eeeh kumbe kakaenda kushtaki Kwa Dada ake ambaye ndo ma mdogo kwamba nimekapga mi sina hili wala lile kumbe kuna bifu zito Kati yangu na ma mdogo Ila hasemi mara akampanga Mzee.
SKU moja kukawa na Ka kikao home yaani familia yote msemaji mkuu ni Mzee nashangaa kinachozungumziwa ni Mimi kumuwasha kibao Yule dogo hapo zmeshapita wk kama mbili tokea tukio like kutokea.
Mzee akawa ananimind sana mbele ya madogo bnafs skujibu kitu kbs Nikawa kimya Tu mpk kikao kikaisha nikaenda zangu kulala maana home kulikuwa na nyumba ndogo nje ambapo nilikuwa nalala Mimi na kubwa inalala familia.
Tokea kipindi hicho kukawa kama kuna Ka bifu fulan hakaeleweki Kati yangu na Mzee kufatilia kumbe kuna ndugu hasa shangaz zangu na ma mdogo wanampanga Mzee khs Mimi kimya kimya.
Bt skujali sn nilikuwa nikiamka asbh naenda zangu town kuangalia cha kufanya narudi jioni au wakti mwngn usafiri ukiwa Tata narudi night.
SKU moja nipo town nashangaa Mzee ananitext kwamba nikiwa natoka niwe naacha key za room kwangu mmmh nilishangaa sana ukizngatia room yangu IPO nje huko na Kila kilichomo mle ni Mali yangu nilinunua Kwa boom la chuo na nilikuwa silali na Mtu mle.
Nikaona huu ni mtego huu nikamwambia haina shida Baba kama ndivyo naona kama tawasumbua hasa nikirud usku kuwagongea kuomba funguo basi nipe wiki moja mi nitafute room nikabz kabisa chumba Tu. Uzuri nilikuwa nimeshapata kazi shule moja hivi kaz ya records.
Hakujibu kitu kweli nilipata salary yangu nikahama Ila niliacha kitanda godoro nikachukua.
Eeeh kitendo cha kuhama huku nyuma niliacha mashambuliz makubwa sana khs Mimi toka Kwa ndugu hasa shangaz mmoja hivi alikuwa ananishambulia sn Kwa Mzee.
Bifu lilikuzwa hasa sasa ulitokea msiba tukawa tumekutana karibu ukoo mzma kuna ndugu wakawa wanajua kuna bifu Kati yangu na Mzee wakasema lazma liishe nikaamuliwa kuomba msamaha Kwa Mzee kweli niliomba msamaha paspokujua kosa langu ni lipi Mzee akasema yameisha.
SKU moja nikaenda Kwa Mzee kuzungumza Naye eeeh si akasema ye hajasamehe lolote eti mpk nisafiri niende kwenye kaburi la mama yake niombe msamaha kisha nizunguke niende Kwa Kaka yake niombe msamaha kisha niende Kwa Dada zake niombe msamaha ndipo atasamehe. Ikumbukwe sjui hata kosa langu ni lipi.
Akaendelea kusema Kwanza ye alishani delete kuitwa Baba ni alama Tu Kwan yeyote anaweza kuwa Baba si lazma yeye. Kwahiyo Alisha delete. Uzuri wakati anayasema hayo skuwa peke yangu maana yake wengne nao walikuwa wanaskia.
Alipomaliza nikamwambia sawa nikaingia ndani kuzungumza na ma mdogo kumwambia kwamba bnafs stakanyaga tena pale home Kwa namna yoyote Ile khs yeye ma mdogo sina tatazo Naye na awe na Amani astegemee kuskia mi namsema Kwa mabaya au kumchukia pale ni kwake na stegemei kuja kurithi chochote pale home na kama kuna mtu atamsema Kwa mabaya khs Mimi bs apotezee Tu maana mi sina tatzo naye.
Basi tukaagana hapo nikaondoka zangu ilikuwa mwaka 2018 na sjawahi kukanyaga tena home na nilihama kikazi na sina mawasiliano na Mzee ya aina yoyote Ile.
Pia simchukii maana najua kuna watu waliyoyaleta hayo tena Kwa njia za kishirikina japo sina ushahidi WA moja Kwa moja.
Sasa wakuu mpaka hapo mnadhani Mimi Nina hatia? Au nmekosea wapi zaidi huwa naskia watu wansema Baba anasema Mimi Nina kiburi, jeuri, dharau, mkorofi sa sjui kwa lipi hata sjui.
Ushauri wenu tafadhari.