kwani babu mwenzangu wa loliondo kapotelea wapi!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Patoo 6?watu wamemshtukia alikuwa anatumia elimu yake ya sayansi kimu kutibu huku akijifanya mchungaji!!! Huyu ni miongoni mwa wanaochafua sifa za wachungaji.
ati nauliza wadau yule mchungaji wa tiba kwa kutumia chakula mch Isack Ndodi kafunga biashara ama kabadilisha staili ya kuhudumu.... manake si muoni kwa runing yangu siku hizi!!!:rolleyez:
Yupo Live karudi tena,Safi sana.