Hivi wanawake wanajisikiaje wakifanya haya..

Haijalishi anajisikia vipi,anachokifanya, awe anajua au hajui ni Kumkosoa aliyempa hizo nywele zake za asili ambaye Hakosei so anapata dhambi.
 
Wanaume wasiojua hata kuchomekea , kuoga, hata kuongea utawajua tu kwa maneno yao ya kijinga. We wigi wanazovaa wanawake wanajihudumia au kuhudumiwa na wanaume watanashati yanawapa shida gani. Mbona hao waliosuka twende kilioni ya tatu kichwa hamuwakodolei macho. Kama mnaogopa ghalama ya nywele za wapenzi wenu mseme sio kulalama ujinga wigi wigi lohh wanaume gani nyie aibu tupu
 
Wanatisha, wangejijuwa:
DSCI0615.jpg

DSCI0614.jpg

DSCI0620.jpg

 
Haijalishi anajisikia vipi,anachokifanya, awe anajua au hajui ni Kumkosoa aliyempa hizo nywele zake za asili ambaye Hakosei so anapata dhambi.

Kuvaa wigi siyo kumkosoa Mungu, tusichanganye mambo. Kwani kuvaa nguo ni kumkosoa aliyekupa ngozi?
 
Really!? Are you serious!? I make Tanzania 'miserable' country to live because of my opinion about 'Brazilian hair'! Na Kikwete na CCM yake watakuwa wameifanya Tanzania sehemu ya aina gani basi kama comment to on 'some' hair make you miserable...Tanzania miserable!? Maaan you made me laugh...

Maisha ya mbongo kila anachoongea lazima aingize siasa. Tanzania ni taifa la siasa. Kwenye olympic kungekuwa na mchezo wa siasa labda watu wetu wangerudi na medali. Sikutegemea kama mjadala wa nywele nitakuta siasa, but thats because I kindof forgot kuwa sisi ni watanzania!
 
Mwanamke anayekuhusu ni yule uliye naye kama mke/mpenzi/dada na ndo unaweza kuwapangia, hao wengine unaokutana nao barabarani wanakuhusu nini?
 
Maisha ya mbongo kila anachoongea lazima aingize siasa. Tanzania ni taifa la siasa. Kwenye olympic kungekuwa na mchezo wa siasa labda watu wetu wangerudi na medali. Sikutegemea kama mjadala wa nywele nitakuta siasa, but thats because I kindof forgot kuwa sisi ni watanzania!

Sikulaumu 'mchumia tumbo wewe'! Fani ilikushinda ukakimbilia huko huko kwenye siasa...bahati mbaya nazo zinakushinda, kacheze kiduku sasa! Sie bado tupo na fani, na tunaipigania...mpaka kieleweke!
 
Sikulaumu 'mchumia tumbo wewe'! Fani ilikushinda ukakimbilia huko huko kwenye siasa...bahati mbaya nazo zinakushinda, kacheze kiduku sasa! Sie bado tupo na fani, na tunaipigania...mpaka kieleweke!

daktari hata wewe umo kwenye kundi hilo!!! sawa daktari, katangaze Jumapili mchana kuwa mimi fani imenishinda na nyinyi bado mmo. Huonekani kama ni mtu wa kurusha majungu ya uongo, kumbe umo. hahahahahahaha maisha ni very interesting!
You know the difference between me and you? What I write on JF I can tell you to your face...
 
daktari hata wewe umo kwenye kundi hilo!!! sawa daktari, katangaze Jumapili mchana kuwa mimi fani imenishinda na nyinyi bado mmo. Huonekani kama ni mtu wa kurusha majungu ya uongo, kumbe umo. hahahahahahaha maisha ni very interesting!
You know the difference between me and you? What I write on JF I can tell you to your face...

You wan'na schedule a meeting?!
 
You wan'na schedule a meeting?!

Daktari, nimekufahamu kupitia watu ambao nawaheshimu sana na wewe nikakupa heshima at the same level, honestly sikutegemea kama uko hivyo!
Sioni sababu ya kuschedule any meeting ila tukikutana kama utakuwa kwenye mood we can talk about it.
 
Haya yote ni kujisahau tu hakuna cha mno ila wakae wakijua hakuna uzuri zaidi ya maumbile aliyokupa aliye juu.
 
ulimbukeni na umagharibi unawasumbua

sana tu, me was thinking and have always been thinking, hivi ingetokea hao waliotukoloni na walioleta teknolojia wangekuwa labda na nywele hizi za kibantu alafu sie tukawa na zile za kwao, hivi si bado tungeona za kwetu mbaya?
my point is we have not been fair to our appearance for God knows how long, we have always subjected ourselves to the Western definition of beauty. dada zetu wapo kama makatuni,(km nimemtachi yeyote, very sorry ila ndio ukweli). tunaona appearance yetu ni mbaya kwasababu reference yetu ni watu wasio na nature yetu.
i dnt think ishu ya mtoa mada iko based kwenye ubahili, ishu ni kwamba who r u trying to deceive with ur fake appearance?
 
Kuvaa wigi siyo kumkosoa Mungu, tusichanganye mambo. Kwani kuvaa nguo ni kumkosoa aliyekupa ngozi?

mhhh I'm afraid anayechanganya issues hapa ni wewe ndugu yangu. lengo la kuvaa nguo ni tofauti kabisa na la kuvaa wigi. wigi mtu anaivaa kuzificha nywele zake asili, ni anajaribu "kuzipimp". atavaa za style namna namna ili afanane namna fulani ambayo yeye ataiona sawa wakati sio necessary. ukweli ni kwamba mtu hawezi kuvaa hizo plastiki mpaka ndani yake ajisikie inferior in terms of appearance na hasa ya nywele (najua mnaweza kukataa sana ila ni fact) kwa suala la nguo hakuna ubishi, clothing is a basic necessity ndio maana wazazi wetu wa kwanza walipoenda tofauti na maagizo ya Mwenyezi Mungu wakajigundua wapo uchi, God himself, the 1st designer, akawadizainia nguo kutokana na ngozi. so nguo function yake haimkosoi Mungu, ila wigs, weavings and company zinaifanya hiyo shughuli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom