Hivi wanawake wana akili ya mapenzi kweli?

Nimeamini mwanamke c wa kumuamini na c wote ILA wengi wao cjui wana fikiria kitu gani,Mfano jana kuna demu ameletwa na rafiki yake ambaye ni shem wangu basi tukapiga story sana yule demu akaonyesha dalili ya kunipenda kama unavyojua wanaume nikamuonyesha NAMI nimekufa nimeonza KUMBUKA ndo tumeonana kwa mara ya kwanza basi kwakuwa rafilki yangu amesoma mchezo akabidi ajifanya anaenda kutembea na demu wake ili mm nimalize kazi.Kweli bana tukafanya mambo vibaya mno namshukuru mungu nilikuwa na kinga bila hvyo ningekuwa katika mawazo kama Anangoma kwasabbu amejiraisisha,baada ya rafiki yangu kurudi akaniambia demu wake na huyu demu niliyekula URODA ni mtu na wifi yake,Nikamuuliza ataenda kumwambia kaka yake kama demu wake nimepiga akaniambia wanafichiana SIRI c raisi.NiMEAMINI WANAWAKE NI DHAIFU SANAAAAAAA narudia tena c wote bali wengi wao
<br />
<br />
Wanafichiana siri na shemeji yako ? Mmmh sijui !
 
hizi "BAIOLOJIA" hiizii!! Mi simo hapa. Nawatakia vita njema.
 
Kaka uko sahihi sababu unge muacha ungekuona hufai, alafu jamaa yako nae demu wake hamfai inawazekana kabisa anakamuliwa na jamaa wengine alafu anaye mwita wifi yake anamfichia siri pindi wanapokuja kwenu. Kwahiyo nyie majamaa hapo kuna kamzunguko live kabisa poleni sana. Halafu Boy unajisifia kuangushia..!!!!!!...
 
we kikaragosi ukute huyo dem alishakupigia mahesabu na kakutumia wewe alafu unajidai ume-score.
Ungejua na sie tunavyowafikiriaga nyie usinge jidai.
Hata sie wanawake huwa tunawadharau sana wanaume viwembe.
Mwanamke akikupenda kiukweli hata ku-cheat.
 
Wewe ndio chanzo cha huo ujinga. Chanzo ni wenye kaul, kati yako wewe na huyo demu nani mwenye kauli?. Wewe ni kicheche. Demu hana kosa.
 
Nimeamini mwanamke c wa kumuamini na c wote ILA wengi wao cjui wana fikiria kitu gani,Mfano jana kuna demu ameletwa na rafiki yake ambaye ni shem wangu basi tukapiga story sana yule demu akaonyesha dalili ya kunipenda kama unavyojua wanaume nikamuonyesha NAMI nimekufa nimeonza KUMBUKA ndo tumeonana kwa mara ya kwanza basi kwakuwa rafilki yangu amesoma mchezo akabidi ajifanya anaenda kutembea na demu wake ili mm nimalize kazi.Kweli bana tukafanya mambo vibaya mno namshukuru mungu nilikuwa na kinga bila hvyo ningekuwa katika mawazo kama Anangoma kwasabbu amejiraisisha,baada ya rafiki yangu kurudi akaniambia demu wake na huyu demu niliyekula URODA ni mtu na wifi yake,Nikamuuliza ataenda kumwambia kaka yake kama demu wake nimepiga akaniambia wanafichiana SIRI c raisi.NiMEAMINI WANAWAKE NI DHAIFU SANAAAAAAA narudia tena c wote bali wengi wao

Mbona sioni tafauti tabia zenu baina ya wewe na huyu Mzinzi mwenzio.
 
Nimeamini mwanamke c wa kumuamini na c wote ILA wengi wao cjui wana fikiria kitu gani,Mfano jana kuna demu ameletwa na rafiki yake ambaye ni shem wangu basi tukapiga story sana yule demu akaonyesha dalili ya kunipenda kama unavyojua wanaume nikamuonyesha NAMI nimekufa nimeonza KUMBUKA ndo tumeonana kwa mara ya kwanza basi kwakuwa rafilki yangu amesoma mchezo akabidi ajifanya anaenda kutembea na demu wake ili mm nimalize kazi.Kweli bana tukafanya mambo vibaya mno namshukuru mungu nilikuwa na kinga bila hvyo ningekuwa katika mawazo kama Anangoma kwasabbu amejiraisisha,baada ya rafiki yangu kurudi akaniambia demu wake na huyu demu niliyekula URODA ni mtu na wifi yake,Nikamuuliza ataenda kumwambia kaka yake kama demu wake nimepiga akaniambia wanafichiana SIRI c raisi.NiMEAMINI WANAWAKE NI DHAIFU SANAAAAAAA narudia tena c wote bali wengi wao

kwa hiyo rafiki yako ka-confirm demu wake atakuwa anamegwa alafu huyo ulommega(wifi) nae anamfichia siri
 
Huyo Mwanamke anayo akili timamu kabisa ila unapaswa kujua hili "MAN NEEDS ONLY AN OPPORTUNITY TO HAVE SEX AND WOMAN NEEDS A REASON TO HAVE SEX" hinyo wewe ulitumia nafasi kupitia sababu zilizompelekea yeye kufanya nawe hicho mlichofanya...at the end sababu anazo yeye tena yawezekana nyingi na za msingi MPAKA KUFANYA MAPENZI sasa Swali ni hili YEYE ALIYEFANYA KWA SABABU YA SABABU ANAZOZIJUA YEYE NA WEWE ULIYEFANYA KWAKUWA TU ALIKUPA NAFASI NANI MJINGA?..............TEK KEA
 
Duh hamna mwanamke hapo ndiyo maana mi huwamega na kupiga chini pumbaffffuuuuuuuu zao!!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br /
Ila kuna MWANAUME eeh! Weye mtu humjui unachojoa Nguo na kutoa kikojoleo chako ovyo ovyo tu! Pptuuh, mwanaume MALAYA sana huyo! Total disgrace to his family!
 
Ama kweli imenenwa KUNYA ANYE KUKU, AKINYA BATA KAHARISHA'
Kwahiyo we hapo umeona mwanamke ndio hana akili wewe unazo sio eeh? Wewe na huyo binti wote malaya tu coz mmeonana kwa mara ya 1 na wote mkavuliana chupi /boxer. Mwanaume wa kweli hajisifii ujinga wewe. Umekaa unaandika huo upupu wako na unaona sifa? NONSENSE..! Hebu kaa utafakari utaona jinsi gani nawewe ulivyo ****. Kwani huyo dada alikubaka? We si ndo ulilianzisha afu unasema hana akili? Ebooo! Makubwa haya! Tena kama ni kutokuwa na akili we ndo bwanyenye kuliko huyo msichana.
 
Wewe kulala na huyo binti, umeona u r strong? wote nyie ni dhaifu, si mwanamke wala mwanaume wote malaya tu nyie. Hivi mtu anawezaje kutoa mwili wake kwa lijitu aloliona siku moja? Very shame, hivi watu wengine miili yao haina thamani kabisa, unatoa tu. Kweli tumetofautiana sana.
 
Ukipiga chini sisi tunaojuwa kuwatuliza ndio huwa tunawachukuwa, halafu baadae udenda unakutoka unakuja kuomba ushauri JF.<br />
Usiwalaumu sana wanawake, usidhani ndoa zote hapa mjini zanamaanisha kweli ni mke na mume, kuna wanaoowa kuficha aibu za maumbile yao, sasa unataka demu apigwe pipe na nani?<br />
Binafsi nina rafiki yangu na ana mke, na anatembea sana na wanawake wa nje, lakini wale wanawake wananiambia wazi huyu rafiki yako hamna kitu, ananichosha tu kuniingiza vidole kwenye K.<br />
Mbona mimi nimeshawatafuna wengi tu wa aina hii, na mmoja namla leo jioni! Kumbukeni si ndoa zote zenye tendo la ndowa ndani yake, kuta nne zinaficha mambo mengi.
<br />
<br />
tpuuu acha niteme mate mimi humu jamvini mna kila aina ya uchafu hakuna wa kumshauri mwenzie
 
Wewe unajiona strong? kwa kulala na lijitu usilolijua? inaonyesha jinsi gani miili yenu haina thamani.
 
Back
Top Bottom