BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
Mie naona huyo mama mumewe alikuwa hamridhishi, hamfikishi kunako. kazi kweli kweli! Hizi cheat jamani!
Naam hilo ni kubwa sana katika sababu za watu kutembea nje, pia kuna hili la michuzi labda Njemba kahamishia nguvu zote nyumba ndogo na kusahau kama ana mke. Mama naye anaamua kufanya mavitu yake. Ndoa zina majaribuni makubwa mno!!