Hivi unaanzaje kuoa mwanamke aliyezaa?

Nina mke tayari nilioa 2015 akiwa mbichi kabisa tuna watoto wawili

Nimekuja kushauri kwa sababu ndugu zangu na washikaji zangu baadhi wana changamoto hii na naona migogoro ya wake zao huu ni usumbufu

Tukifanya hivyo wote tatizo litaisha wadada wataogopa kuzalishwa ovyo kama kuku!!
Watakuona unaongea maneno makali lakini umeongea ukweli mtupu.
 
Tunaozaa na wanawake wa mtaani kisha kuwaacha bila mwelekeo ni sisi. Tunaowaanzishia mada ni sisi pia.
Wingi wao siyo sababu ya wao kunyanyasika.
Tunapenda kuwa nao lakini hatupendi kuwapa thamani yao, dada zetu na shangazi zetu hakuna namna watakuwa wa kiume ila kubakia wakike.

Kuna waliozalia kwenye ndoa, bahati mbaya Mungu aliwaita wakati familia zao zikiwahitaji.

Waliochagua kuzaa bila utaratibu watawajibika kwa makosa yao sambamba na waliovuruga ndoa zao kwa uzembe na makusudi.
 
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?

Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?

Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto

Labda kama unapasha tu !!!

Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!

Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!

Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
This is the point here.
 
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?

Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?

Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto

Labda kama unapasha tu !!!

Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!

Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!

Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Hujapenda wewe
 
Duh! wewe jamaa unapata dhambi ujue.

Kuna wengine hawakutaka ilikuwa shetani tu kawapoteza ndio wakaishia kuwa na watoto, wengine wameteleza lakini ni ma-waifu matirio kabisa.
Na kingine wanakuwa mamejufunza mengi ya kimaisha kwahiyo ukibahatika ukampata alietulia utafika nae mbali sana.

Unawaita 'wapigania uhuru' sawa ng'ang'ania hao 'wanamageuzi' wako.
Kwahiyo unafikiri hao ma-vetran hawachiki tena kwasbb walishawahi kuzaa mahari, mwanamke hajifunzi.
 
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?

Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?

Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto

Labda kama unapasha tu !!!

Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!

Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!

Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Kuwa na adabu wewe, yaani umetoroka shuleni huko unakuja kuwapangia baba zako mwanamke wa kuoa?

How stupid are you?
 
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?

Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?

Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto

Labda kama unapasha tu !!!

Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!

Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!

Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Uko sahihi masingle mother ndo saiv wanajifanya wanaalakati wahaki wengi wanamioyo migumu sana
 
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?

Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?

Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto

Labda kama unapasha tu !!!

Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!

Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!

Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Hata sisi tulipokuwa na umri kama wa kwako tulifikiria kwa kina kama wewe na tulichagua pengine haitatokea kufanya hivo, lakini baada ya kuyaaelewa mambo kwa kina tuliona hilo halina advantage kwenye maisha halisi ya mwanaume kama unajua unataka nini, bado unasafari ndefu kujua hasa mwanamke ni nani. Me nadhani ungeendelea kunoa bongo zaidi.
Kwa kipindi hiki wanaume tunaoa kwa mkataba, ukiendelea kuamini hivo utakatwa hicho kichwa.
(Hata mimi najiuliuza kuna tofauti gani kati ya mwanamke mwenye mtoto na ambaye hana usichana wake?, hata ukianza naye kuzaa wewe bado utazaa naye tena watoto wengine, tofauti ni nini hapa)
 
Back
Top Bottom