Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,234
- 34,354
KabisaSi bora huyo uhakika wa mayai kuwepo ni 💯
KabisaSi bora huyo uhakika wa mayai kuwepo ni 💯
Vijana sasa mmesha komaaBora ubaki bila kuoa Ila sio kuoa mwanamke mwenye mtoto.
Pia tuliambiwa mafahali wawili hawakai zizi moja. Akili kichwani mwakoNataka niwatetee ila mimi mwenyewe naona siwezi
Ni dhana potofu tumekua nayo, ni ngumu kuitoa kichwani
Lazima sababu za kufanya hivyo zitakuwepo....
Wanasema 'The world is too big for people to think in the same kind of way'
Watakuona unaongea maneno makali lakini umeongea ukweli mtupu.Nina mke tayari nilioa 2015 akiwa mbichi kabisa tuna watoto wawili
Nimekuja kushauri kwa sababu ndugu zangu na washikaji zangu baadhi wana changamoto hii na naona migogoro ya wake zao huu ni usumbufu
Tukifanya hivyo wote tatizo litaisha wadada wataogopa kuzalishwa ovyo kama kuku!!
Kweli ndugu! Unasema Ukweli kabisa, Watoto ni wengi sana humu mitandaoni!Watoto ni wengi sana mitandaoni, wanafikiri maisha ni kama hesabu kwamba moja na moja jibu ni mbili.
This is the point here.Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Hujapenda weweMwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Kwahiyo unafikiri hao ma-vetran hawachiki tena kwasbb walishawahi kuzaa mahari, mwanamke hajifunzi.Duh! wewe jamaa unapata dhambi ujue.
Kuna wengine hawakutaka ilikuwa shetani tu kawapoteza ndio wakaishia kuwa na watoto, wengine wameteleza lakini ni ma-waifu matirio kabisa.
Na kingine wanakuwa mamejufunza mengi ya kimaisha kwahiyo ukibahatika ukampata alietulia utafika nae mbali sana.
Unawaita 'wapigania uhuru' sawa ng'ang'ania hao 'wanamageuzi' wako.
Kuwa na adabu wewe, yaani umetoroka shuleni huko unakuja kuwapangia baba zako mwanamke wa kuoa?Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Uko sahihi masingle mother ndo saiv wanajifanya wanaalakati wahaki wengi wanamioyo migumu sanaMwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Hata sisi tulipokuwa na umri kama wa kwako tulifikiria kwa kina kama wewe na tulichagua pengine haitatokea kufanya hivo, lakini baada ya kuyaaelewa mambo kwa kina tuliona hilo halina advantage kwenye maisha halisi ya mwanaume kama unajua unataka nini, bado unasafari ndefu kujua hasa mwanamke ni nani. Me nadhani ungeendelea kunoa bongo zaidi.Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!