King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,678
- 68,653
Ukitaka JamiiForum i-shine basi nyima madogookumanga eheee nyimamadogookumanga!
Aya yaya yayayaya!.hii imenkumbusha kisa cha jamaa wa movie ya the gods must be crazy,part one kama sikose,
jamaa alijipanga kweli kweli ila alipofika akishia kuharib mwishoe akamtell mdada ni an interesting psychological phenomena..............mdada alikufa mbavu kwa kwa jinc jamaa alivyokuwa anahangaika ila alimwelewa akampiga bonge la kiss.............mambo yakawa mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kuna jamaa alikuwa bingwa wa kuandika barua za mapenzi nilimtumia huyo kwa ofa sigara mbili za Nyota, barua aliyonitungia huyo staa nilimpa mdogo wangu wa kike aipeleke kwa demu wangu mtarajiwa. Ilinichukua mieze miwili kupata majibu, hata hivyo nilikubaliwa na sasa tuna watoto wanne,first born anasubiri jina lake litoke TCU!
mim nikikumbuka kwa mara ya kwanza kulikuwa na msichana 1 tunasoma nae alikuwa mlokole nilimwandikia barua kwanza nilitembea nayo kama wiki hivi nikiogopa kumpa siku hiyo mwalim wa kiswahili alikuja na kutuunganisha kwenye makundi akagawa vitabu tukawa tunasoma mim nikaomba daftari yake ya kiswahili nikaiweka ile barua nakumrudishia baati mbaya mda si mrefu mwalim akatoa kazi ya kufanya alipofungua tu daftari akaikuta alistuka sana mpaka madawati ya karibu yakastuka akaitupa chini watu wakaanza kumcheka yeye akaanza kulia kwa sauti mpaka mwalim akasikia na kuuliza kunani ikachukuliwa ile barua na mwalim na kusomwa mbele ya darasa ilikuwa soo sana.mzee mzima nililowa sana najasho
nilimnunulia blackberry na Vitz.. baada ya hapo hakukuwa na haja ya saund!
Mi nlimuandikia kaujumbe kwenye daftari la jografia, akasau kuchana hiyo karatasi, akakusanya daftari. Hiyo kesi ilikuwa kubwa mpk kwa mwalimu mkuu. Huyo dem sasa hv ni hakimu kanda ya ziwa huko.
Wanaume kumbe wana kazi kutongoza,wakishapata ndio ooooooooooh marijali wao...
we nawe hadi leo unafatilia matapishi ya zamani waachie wenye kumiliki vyao mshika mawili 1 humponyoka, kuna jirani yangu ana tabia kama yako hadi leo hajitambui ni kurudi rudi nyuma anaonyesha jinsi gani hajui hata anataka nini cha kushangaza madai antongozwa je kuchunwa kwake pia ni moja ya kutongozwa au
Kuchunwa suna, mwanaume anasifiwa matumizi
sasa na wadada nao waseme ilikuwaje walipotongozwa mara ya kwanza