KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Anakwenda kuanzisha mada kwenye group au jf ka wewe.
Kuna demu nilimtongoza akaniambia ngoja kwanza akamuombe Mungu amuonyeshe kama mimi ni mwanaume wa kweli na nimedhamilia, baada ya kuendelea kumsumbua mtoto wa kichaga akaingia anga zangu, mpaka leo nakula mzigo na hajawahi kuniambia kama kweli Mungu alimuonyesha
Kuna vyama unapovitaja kwanza unatakiwa uvitaje kwa heshima....Ohoooo!Hawa wengi ni wanachama watiifu wa CHAWAPUTA (Chama cha Wapiga Punyeto Tanzania)!
Kuna vyama unapovitaja kwanza unatakiwa uvitaje kwa heshima....Ohoooo!
Hiki chama sio cha kuchezea... kikiamua kusambaratika basi uchumi wa nchi utayumba. Nani asiyejua kuwa sabuni ni bidhaa muhimu sana nchini...
Siku hizi mwanamke / msichana hatongozwi Mkuu.Mfano,umemtongoza binti,umempiga mistari yako nae anakusikiliza fresh tu.baada ya kumaliza kunadi sera zako kwake, yeye anakuambia amekusikia na kukuelewa na atakupa jibu lako siku nyingine.
Swali langu ni kwamba kama amenickia na kunielewa kwa nin asitoe jibu hapo hapo badala ya kusubiri cku nyingine,au kuna mahali huwa wanaenda kuomba ushauri kwanza?