wambeke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 2,655
- 2,645
siku hizi hakuna kutongoza mnatoka tu afu hamrudiHizi swaga za kuomba jibu ni za kizee, yani ni swaga kongwe.... Sijui wanaume wa digitali mnawezaje kuzitumia
siku hizi hakuna kutongoza mnatoka tu afu hamrudiHizi swaga za kuomba jibu ni za kizee, yani ni swaga kongwe.... Sijui wanaume wa digitali mnawezaje kuzitumia
Mkuu wiki yote iyoooo!! Acha utani mkuu,ten hayo ni matumizi mabaya ya bundle.Duu siku hizi kuna kuomba majibu kweli? Siku mi naona unachukua no ya simu mnachat ndani ya week tuu unakula mzigo. Hapo ndio yeye mwenyewe aanze kukuita baby
Nimesema ndani ya week mkuuMkuu wiki yote iyoooo!! Acha utani mkuu,ten hayo ni matumizi mabaya ya bundle.
Na ni ngumu kusaliti kambiHawa wengi ni wanachama watiifu wa CHAWAPUTA (Chama cha Wapiga Punyeto Tanzania)!
Kama ana picha yako io kufkiria ni kwamba anaenda kuwaonesha mabest zake il 'wakuthaminishe'Mfano,umemtongoza binti,umempiga mistari yako nae anakusikiliza fresh tu.baada ya kumaliza kunadi sera zako kwake, yeye anakuambia amekusikia na kukuelewa na atakupa jibu lako siku nyingine.
Swali langu ni kwamba kama amenickia na kunielewa kwa nin asitoe jibu hapo hapo badala ya kusubiri cku nyingine,au kuna mahali huwa wanaenda kuomba ushauri kwanza?
Mtihani...!!Mimi huwa najiuliza madomo zege ambao hawana pesa wanatongoza vipi?
Bado kuna taratibu za kutongozana siku hizi? Bro approach yako haikuwa conviencingMfano,umemtongoza binti,umempiga mistari yako nae anakusikiliza fresh tu.baada ya kumaliza kunadi sera zako kwake, yeye anakuambia amekusikia na kukuelewa na atakupa jibu lako siku nyingine.
Swali langu ni kwamba kama amenickia na kunielewa kwa nin asitoe jibu hapo hapo badala ya kusubiri cku nyingine,au kuna mahali huwa wanaenda kuomba ushauri kwanza?
Duhh hatari aiseiiHakutaki na hataki akuone unavyopata aibu ya kukataliwa
Mmhh!!Hizi swaga za kuomba jibu ni za kizee, yani ni swaga kongwe.... Sijui wanaume wa digitali mnawezaje kuzitumia
za cku hizi zipojeMbona unatumia desa la zamani kutongoza mkuu. Siku hizi kuna mtu anakaa kusubiria jibu? Ahahahaha
Tuna taratibu zetu babu kama ingekuwa rahisi hivyo basi tusingekuwa tunajistiri sana.Mfano,umemtongoza binti,umempiga mistari yako nae anakusikiliza fresh tu.baada ya kumaliza kunadi sera zako kwake, yeye anakuambia amekusikia na kukuelewa na atakupa jibu lako siku nyingine.
Swali langu ni kwamba kama amenickia na kunielewa kwa nin asitoe jibu hapo hapo badala ya kusubiri cku nyingine,au kuna mahali huwa wanaenda kuomba ushauri kwanza?
Jamani haijafikia huko sio rahisi ki hivyo looh!!Mkuu badogo tuuu kutongozana kupo kwa karne hiiii au wewe upo wapi Mkuuu ?
Hawa viumbe ni kushika mkono tuuuu na kwendaaa nayee hapo kazi umemalizaa