Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
Ndg zangu,
Kuna jambo linaendelea kusumbua kichwa changu ndugu zangu na hili ni kujiuliza hivi Tanzania na raia wake huw hatuna ajenda?Ajenda zetu ni kama milipuko ya mabomu au majanga ya moto?
Sasa hivi nchi nzima watu wanazungumzia ajenda ya kwa babu Loliondo na wamesahau harakati zote na ugumu wote wa maisha. Hoja ya katiba mpya imeishia wapi?hoja za TUCTA kupanda bei ya umeme na gharama nyingine zimeishia wapi?hoja za ukali maisha zimeishia wapi?harakati na hoja za kupinga malipo ya DOWANS zimeishia wapi?
Kweli Makamba alisema kweli tukamkebehi pale aliposema "Watanzania ni wasahaulifu"
With all that, i remain
Kuna jambo linaendelea kusumbua kichwa changu ndugu zangu na hili ni kujiuliza hivi Tanzania na raia wake huw hatuna ajenda?Ajenda zetu ni kama milipuko ya mabomu au majanga ya moto?
Sasa hivi nchi nzima watu wanazungumzia ajenda ya kwa babu Loliondo na wamesahau harakati zote na ugumu wote wa maisha. Hoja ya katiba mpya imeishia wapi?hoja za TUCTA kupanda bei ya umeme na gharama nyingine zimeishia wapi?hoja za ukali maisha zimeishia wapi?harakati na hoja za kupinga malipo ya DOWANS zimeishia wapi?
Kweli Makamba alisema kweli tukamkebehi pale aliposema "Watanzania ni wasahaulifu"
With all that, i remain