TOWNSEND
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,598
- 460
Nipeni mawazo yenu kwani kIla ninapoangalia bunge nakerwa na mambo mengi hasa hili la mbunge hasa wa ccm wanapopewa nafasi ya kuchangia huanza na neno nakushukuru spika kwa kuniona au kuniruhusu na mimi nichangie hivi ni kweli mpaka huruma ya spika? au ni wajibu wake kihalali?
...au naomba waziri anisaidie kijijini kwangu hakuna umeme je ni haki kusema unamuomba waziri au ni wajibu wa waziri kutekeleza bila sharti lakuombwa?
...au naomba waziri anisaidie kijijini kwangu hakuna umeme je ni haki kusema unamuomba waziri au ni wajibu wa waziri kutekeleza bila sharti lakuombwa?