sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Kama analolisema huyu Mbunge ni kweli basi Spika wa Bunge jiuzulu tafadhali.
Soma >> Mkataba wa Bandari: Mbunge Aida Khenani akiri kupelekwa Dubai, lakini mpaka wanarudi hakujua walikwenda kufanya nini
Mbunge anasema alisafiri mpaka Dubai hajui anaenda kufanyaje? Kweli Kodi zetu mnazitumia kuwalipa au kulipana pasipo tija kiasi hiki?
Yaani Mbunge anasema alienda Dubai lakini hakuambiwa anaenda kufanyaje mpaka anarudi? Analipwa na Bunge anashangaa kuona analipwa kwa fedha za Dubai? Mbunge anasema alilipwa na TPA, kwa mantiki hiyo tunataka tujue TPA ilipataje fedha za kulipia wabunge?
Hivi wajua kwanini Mwendazake alizuia safari za nje ya nchi? Sasa hapo ndio maana yake jueni
Eeee Mwenyezi Mungu mrehemu Rais wa wanyonge - Ta Magufuli!
Soma >> Mkataba wa Bandari: Mbunge Aida Khenani akiri kupelekwa Dubai, lakini mpaka wanarudi hakujua walikwenda kufanya nini
Mbunge anasema alisafiri mpaka Dubai hajui anaenda kufanyaje? Kweli Kodi zetu mnazitumia kuwalipa au kulipana pasipo tija kiasi hiki?
Yaani Mbunge anasema alienda Dubai lakini hakuambiwa anaenda kufanyaje mpaka anarudi? Analipwa na Bunge anashangaa kuona analipwa kwa fedha za Dubai? Mbunge anasema alilipwa na TPA, kwa mantiki hiyo tunataka tujue TPA ilipataje fedha za kulipia wabunge?
Hivi wajua kwanini Mwendazake alizuia safari za nje ya nchi? Sasa hapo ndio maana yake jueni
Eeee Mwenyezi Mungu mrehemu Rais wa wanyonge - Ta Magufuli!