Kwa hili la Mbunge kwenda Dubai bila kujua dhumuni la safari, Spika anatakiwa kujiuzulu!

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
Kama analolisema huyu Mbunge ni kweli basi Spika wa Bunge jiuzulu tafadhali.

Soma >> Mkataba wa Bandari: Mbunge Aida Khenani akiri kupelekwa Dubai, lakini mpaka wanarudi hakujua walikwenda kufanya nini

Mbunge anasema alisafiri mpaka Dubai hajui anaenda kufanyaje? Kweli Kodi zetu mnazitumia kuwalipa au kulipana pasipo tija kiasi hiki?

Yaani Mbunge anasema alienda Dubai lakini hakuambiwa anaenda kufanyaje mpaka anarudi? Analipwa na Bunge anashangaa kuona analipwa kwa fedha za Dubai? Mbunge anasema alilipwa na TPA, kwa mantiki hiyo tunataka tujue TPA ilipataje fedha za kulipia wabunge?

Hivi wajua kwanini Mwendazake alizuia safari za nje ya nchi? Sasa hapo ndio maana yake jueni

Eeee Mwenyezi Mungu mrehemu Rais wa wanyonge - Ta Magufuli!
 
Kama ni kweli TPA ndio umelipia safari hiyo basi ni kweli RUSHWA imetupofusha.

Na kama ni kweli Mteja wetu Mtarajiwa DPW naye aliwalipa posho watunga sheria wetu, basi kwa mara ya kwanza tumetumbukizwa shimoni
 
Kama analolisema huyu Mbunge ni kweli basi Spika wa Bunge jiuzulu tafadhali.

Mbunge anasema alisafiri mpaka Dubai hajui anaenda kufanyaje? Kweli Kodi zetu mnazitumia kuwalipa au kulipana pasipo tija kiasi hiki?

Yaani Mbunge anasema alienda Dubai lakini hakuambiwa anaenda kufanyaje mpaka anarudi? Analipwa na Bunge anashangaa kuona analipwa kwa fedha za Dubai? Mbunge anasema alilipwa na TPA, kwa mantiki hiyo tunataka tujue TPA ilipataje fedha za kulipia wabunge?

Hivi wajua kwanini Mwendazake alizuia safari za nje ya nchi? Sasa hapo ndio maana yake jueni

Eeee Mwenyezi Mungu mrehemu Rais wa wanyonge - Ta Magufuli!
Huyo mbunge atakuwa ni poyoyo wa mwisho bungeni. Aondolewe bungeni. Haelewi hata maana ya "study tour".

Utalii wa kujifunza hatakiwi kuambiwa anaenda kufanya nini, anaambiwa tu hii ni study tour. Baada ya hapo ajifunze yeye mwenyewe chochote atachojifunza huko. Sasa kama poyoyo hajajifunza umlaumu Spika?

Wameenda wabunge 30 Dubai, yeye peke yake ndiye hajuwi alienda kufanya nini, hayupo sawa kabisa. Ni poyoyo.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Kama analolisema huyu Mbunge ni kweli basi Spika wa Bunge jiuzulu tafadhali.

Soma >> Mkataba wa Bandari: Mbunge Aida Khenani akiri kupelekwa Dubai, lakini mpaka wanarudi hakujua walikwenda kufanya nini

Mbunge anasema alisafiri mpaka Dubai hajui anaenda kufanyaje? Kweli Kodi zetu mnazitumia kuwalipa au kulipana pasipo tija kiasi hiki?

Yaani Mbunge anasema alienda Dubai lakini hakuambiwa anaenda kufanyaje mpaka anarudi? Analipwa na Bunge anashangaa kuona analipwa kwa fedha za Dubai? Mbunge anasema alilipwa na TPA, kwa mantiki hiyo tunataka tujue TPA ilipataje fedha za kulipia wabunge?

Hivi wajua kwanini Mwendazake alizuia safari za nje ya nchi? Sasa hapo ndio maana yake jueni

Eeee Mwenyezi Mungu mrehemu Rais wa wanyonge - Ta Magufuli!
Nimemsikiliza Aida Kenani anasema wamepelekwa Dubai January 28, 2023 wakiambiwa wanakwenda kujifunza wenzetu wanavyofanya kazi bandarini ili na wao waje waishauri serikali. Wanarudi ndo wanagundua kuna makataba na DPW ulisainiwa mwaka mmoja uliopita.
Anauliza Kipi kilitakiwa kutangulia Mkataba au ziara ya Wabunge ili wawe na contents za kuishauri serikali?
Nimemuelewa Sana huyu mama pale aliposema ziara hiyo ilikuwa danganya toto maana mjadala ulipoanza Ofisi ya Spika ikaachia majina ya waliokwenda Dubai tena Kipande tu cha karatasi yenye jina lake Kwanza ili kuonyesha Wananchi kwamba hata Wapinzani walikwenda na wanaunga mkono.
 
Yaani Mbunge anasema alienda Dubai lakini hakuambiwa anaenda kufanyaje mpaka anarudi?
Mbunge huyu itakuwa ni Mbumbumbu, aukaficha ukweli.
Haiwezekani kwa mtu mzima , Mbunge ,afunge safari kwa kufuata mkumbo tuu bila ya kujua dhamira ya safari yake?
Huu ni uongo wa kupitiliza .
Kama angelijikuta ankwenda kuliwa uroda kwa Wafalme je angejitetea vipi?
 
Kama analolisema huyu Mbunge ni kweli basi Spika wa Bunge jiuzulu tafadhali.

Soma >> Mkataba wa Bandari: Mbunge Aida Khenani akiri kupelekwa Dubai, lakini mpaka wanarudi hakujua walikwenda kufanya nini

Mbunge anasema alisafiri mpaka Dubai hajui anaenda kufanyaje? Kweli Kodi zetu mnazitumia kuwalipa au kulipana pasipo tija kiasi hiki?

Yaani Mbunge anasema alienda Dubai lakini hakuambiwa anaenda kufanyaje mpaka anarudi? Analipwa na Bunge anashangaa kuona analipwa kwa fedha za Dubai? Mbunge anasema alilipwa na TPA, kwa mantiki hiyo tunataka tujue TPA ilipataje fedha za kulipia wabunge?

Hivi wajua kwanini Mwendazake alizuia safari za nje ya nchi? Sasa hapo ndio maana yake jueni

Eeee Mwenyezi Mungu mrehemu Rais wa wanyonge - Ta Magufuli!
Kwa hiyo huyo mbunge yeye akiambiwa kuna safari basi anakimbilia posho tu. Anakwenda safari km mzigo hajui ht afanyalo masikini!
Sasa huyo ana uchungu na pesa zetu kweli!
 
Kama analolisema huyu Mbunge ni kweli basi Spika wa Bunge jiuzulu tafadhali.

Soma >> Mkataba wa Bandari: Mbunge Aida Khenani akiri kupelekwa Dubai, lakini mpaka wanarudi hakujua walikwenda kufanya nini

Mbunge anasema alisafiri mpaka Dubai hajui anaenda kufanyaje? Kweli Kodi zetu mnazitumia kuwalipa au kulipana pasipo tija kiasi hiki?

Yaani Mbunge anasema alienda Dubai lakini hakuambiwa anaenda kufanyaje mpaka anarudi? Analipwa na Bunge anashangaa kuona analipwa kwa fedha za Dubai? Mbunge anasema alilipwa na TPA, kwa mantiki hiyo tunataka tujue TPA ilipataje fedha za kulipia wabunge?

Hivi wajua kwanini Mwendazake alizuia safari za nje ya nchi? Sasa hapo ndio maana yake jueni

Eeee Mwenyezi Mungu mrehemu Rais wa wanyonge - Ta Magufuli!
Huyu spika ni hovyo kabisa! Sijui tulitokana naye wapi huyu! Ee Mungu Mwenyezi tuepushe na janga hili.
 
Huyo mbunge atakuwa ni poyoyo wa mwisho bungeni. Aondolewe bungeni. Haelewi hata maana ya "study tour".

Utalii wa kujifunza hatakiwi kuambiwa anaenda kufanya nini, anaambiwa tu hii ni study tour. Baada ya hapo ajifunze yeye mwenyewe chochote atachojifunza huko. Sasa kama poyoyo hajajifunza umlaumu Spika?

Wameenda wabunge 30 Dubai, yeye peke yake ndiye hajuwi alienda kufanya nini, hayupo sawa kabisa. Ni poyoyo.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Wewe mzee acha kutetea upumbavu wenu
 
Back
Top Bottom