Lastname
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 921
- 296
Najiuliza sana hivi ni ,kweli wabunge wa CCM wote wanaitetea serikali kwa dhati? Hawayaoni ambayo serikali inachemsha sana. Na hawasomi dalili zozote zile mbele? Bora mbunge wangu huwa anapiga kimya yeye ni wa CCM, kuliko wale wanaosema sema sana. Ila nitachunguza kama hata kupiga meza huwa anapiga kimya.