Hapana hapanaHii hii sayari dunia Mwifwa
We unaweza kubali mumeo akuolee mwenzio tuanze na wewe?Wanaume nyie ndio wa kutoa huduma zote kwetu na familia na mnaujua uzito wa mzigo mnaoubeba sawasawa. Hebu tusaidieni uzoefu na mawazo tusijeyaharibu mambo huku
View attachment 1818741
Wanawake kupendana buana
Mtazamo wangu Huo ni umalaya uliofunikwa kwenye kivuli cha ndoa...... kwamba atawaoa hata kumi hapo mradi uchumi unaruhusu!!!!!!! Shurti anavanya kubadilisha fleva...weupe...weusi...warefu...wafupi...wenye mwanya...wasionao....wakatq viuno....magogo.....nk nk nk
(Mnaoamini wake wengi kimila au kidini piteni kushoto.......)
Hahahahah nilitaka kudhibitisha tu kuwa wewe ni miongoni mwa 80% ya wanawake ambao watakaza hukumu hio isiwafike!Tutaulizana maswali yote nijue sababu ila mwisho kabisa sitakubali🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣Tutaulizana maswali yote nijue sababu ila mwisho kabisa sitakubali🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahahah nilitaka kudhibitisha tu kuwa wewe ni miongoni mwa 80% ya wanawake ambao watakaza hukumu hio isiwafike!
Jibu ni kuwa wanawake wengi hawapendi ukewenza 😅😅😅
EeeehSasa mimi mwenyewe hanitoshi, sembuse wawili!?
Kwanza ntazua majukumu hadi nguvu za ndoa ya pili zimuishie
Nymphomania eee?!! 🤣🤣Sasa mimi mwenyewe hanitoshi, sembuse wawili!?
Kwanza ntazua majukumu hadi nguvu za ndoa ya pili zimuishie