Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Wakuu,
Kuna mdau mmoja amenieleza eti mtoto wa kiume anazaliwa kwa nguvu kubwa zaidi ikilinganishwa na mtoto wa kike. Eti wakati wa ku-do ukifanikiwa ku-shoot kwa nguvu na mwanamke akiwa kwenye zile siku lazima mimba ya mtoto wa kiume itatunga. Hivi kuna ukweli kiasi gani kuhusu suala hili?
Kuna mdau mmoja amenieleza eti mtoto wa kiume anazaliwa kwa nguvu kubwa zaidi ikilinganishwa na mtoto wa kike. Eti wakati wa ku-do ukifanikiwa ku-shoot kwa nguvu na mwanamke akiwa kwenye zile siku lazima mimba ya mtoto wa kiume itatunga. Hivi kuna ukweli kiasi gani kuhusu suala hili?