Wadau Leo heb tuangazie kidogo haya maharage yaliyojizolea umaarufu nchini Tanzania yaani maharage ya mbeya.Imekuwa ikisemekana kwamba maharage haya yanaiva haraka sana tena hatakama moto ni hafifu.Yaani unaambiwa maji ni mara moja tu na huna haja ya kutumia nguvu nyingi.
Vp huu usemi unaukweli kwa mlio test maharage ya green city?
Tusanuane
Vp huu usemi unaukweli kwa mlio test maharage ya green city?
Tusanuane