Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Nimekutana na ripoti ya utafiti mmoja inaonyesha kuwa wanawake wengi hawapendi wanaume wanaonyoa nywele zao za chini zote (katika pubic area) kwa madai kuwa wanaume wanaonyoa nywele hizo zote ni mashoga. Ripoti hiyo inaeleza kuwa wanawake wengi wanaamini kuwa ni wao pekee (wanawake) au wanaume mashoga ndio wanaopaswa kuhakikisha pubic area iko safi bila chembe ya kinyweleo lakini kwa mwanaume inabidi kuwepo na vinyweleo na hapatakiwi kukwanguliwa kuondoa nywele zote.
Nimeshangazwa sana na utafiti huu na ningependa kujua mawazo yenu mnakubaliana na matokeo ya utafiti huu au la?
Nimeshangazwa sana na utafiti huu na ningependa kujua mawazo yenu mnakubaliana na matokeo ya utafiti huu au la?