kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Kuna single mother fulani ambaye tumezoana saana kama watani tu wamakabila
Uyo single mother Ana watoto 4 na mume wake alifariki toka 2022
Sasa siku hizi anaumwa matatizo ya mgongo na kiuno
Jana ameniambia kuwa hayo magonjwa yake ya mgongo na kiuno ni matatizo ya wanawake eti mwanamke akikaa mda kidogo bila kufanya mapenzi ndo wanapatwa na matatizo haya je ni kweli au huu ni mtego
Uyo single mother Ana watoto 4 na mume wake alifariki toka 2022
Sasa siku hizi anaumwa matatizo ya mgongo na kiuno
Jana ameniambia kuwa hayo magonjwa yake ya mgongo na kiuno ni matatizo ya wanawake eti mwanamke akikaa mda kidogo bila kufanya mapenzi ndo wanapatwa na matatizo haya je ni kweli au huu ni mtego