tusibishane, alishapumzika kwa amani,
Jamaa anataka kufahamu,kwan watu weng hupata kuelmika kupitia mitandao ya jamii kama hii.Suala la mabishano linatokea wapi?
tusibishane, alishapumzika kwa amani,
Jamaa anataka kufahamu,kwan watu weng hupata kuelmika kupitia mitandao ya jamii kama hii.Suala la mabishano linatokea wapi?
hata kama aliongea kiswazi wewe inakusaidia nini, jamaa ni marehemu kwa sasa, malipo ni duniani, mbinguni ni kuimba haleluya tu kwa wale wateule wa bwana.
Gaddafi, Rest In Hell, alikuwa hajui kiswahili,
ila kuna maneno ya kiarabu yanafanana na kiswahili, hivyo akitamka utadhani anaongea kiswazi
mf. Shukran, dini, timam, maskin, mushkeli, marhaba, magharib, salaam, na kadha wa kadha
Na sisi watanzania tumezidi mno kujadili vitu visivyokuwa na tija.
Hivi hivi hata bungeni 'Namtambulisha mke wangu.' Hivi tuliwatuma huko kwenda kutambulisha wake zenu?
Kiswahili ni lugha tu, ajue ama asijue haikusaidii chochote. Mbona Rais Kabila anajua na hijakusaidia kitu. Kikwete ndo usiseme, lakini wapi UCHUMI ndo unaporomoka pamoja na kiswahili chake cha PWANI.
Gadafi alikua anaongea kiswahili mimi nimewahi kukutana nae na tulizungumza kiswahili
Umekataa kata kata. Sasa umeleta hapa upate uhakika gani tena? Una maana ulikuwa unakataa kata kata huku ukiwa hauna uhakika?... na ndipo nikakataa katu katu na ndipo nikasema nipate uhakika humu. NAWAKILISHA KWA Wana JF!
Umekataa kata kata. Sasa umeleta hapa upate uhakika gani tena? Una maana ulikuwa unakataa kata kata huku ukiwa hauna uhakika?
Gaddafi ameshakufa na wewe mwenyewe unakiri kwamba amezikwa jangwani, iweje sasa unasema "ANAONGEA KISWAHILI......". Kama alishakufa ataongeaje kiswahili? Nadhani unaoongea kiswahili utakuwa labda ni mzimu wake na si yeye!!!Wakati hbr ya mazishi ya Marehemu Cal. Mohamad Gaddafi pamoja na Mwane na waziri wake ikifanyika jangwani kusiko julikana,Kuna mabishano yanipata baada ya wadau niliokuwa nao wakisema ya kwa Gaddafi ni msemaji mzuri wa Kiswahili, na ndipo nikakataa katu katu na ndipo nikasema nipate uhakika humu. NAWAKILISHA KWA Wana JF!
Gaddafi ameshakufa na wewe mwenyewe unakiri kwamba amezikwa jangwani, iweje sasa unasema "ANAONGEA KISWAHILI......". Kama alishakufa ataongeaje kiswahili? Nadhani unaoongea kiswahili utakuwa labda ni mzimu wake na si yeye!!!