LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Wakati hbr ya mazishi ya Marehemu Cal. Mohamad Gaddafi pamoja na Mwane na waziri wake ikifanyika jangwani kusiko julikana,Kuna mabishano yanipata baada ya wadau niliokuwa nao wakisema ya kwa Gaddafi ni msemaji mzuri wa Kiswahili, na ndipo nikakataa katu katu na ndipo nikasema nipate uhakika humu. NAWAKILISHA KWA Wana JF!