Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,567
we kibokoYan mie cwez kusalimia hata kwa panga alafu cku iz cjui nimekuwaje hata watu ninaoona wanalingana na mume wangu cwap Shikamoo yangu
we kibokoYan mie cwez kusalimia hata kwa panga alafu cku iz cjui nimekuwaje hata watu ninaoona wanalingana na mume wangu cwap Shikamoo yangu
Hapa hapa tu home no... Si eti ee...?!Marahaba mambo mamy.... ole wako nyumbani unisalimie
Usiku nakuliza wee asubui nikuamkie hata km unalingana na babu yangu sikuamkii ng'ooo