figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Habari yenu wakuu,
Hivi kuchoma moto picha za mpenzi wa zamani ikiwemo kuchoma cards na zawadi mbalimbali, kudelete jina kwenye simu, kumunfriend kwenye mitandao ya kijamii ikiwa ni pamoja na kumblock, kumtangazia sifa mbaya yaani kila baya ni lake, je ina tija?
Mimi naona sio Vizuri, inakua ni Mihemko tu. Inakuaje mtu unasahau mazuri yote Mliyotendeana mlipokua wapenzi hadi mfikie hatua hiyo? Kitendo kama hicho ndo nasema ni mkono wa shetani unakua unatenda kazi.
Kwa mfano mimi sijui kuacha au kumchukia kupita kiasi aliyekua Mpenzi wangu, hua naendelea kumheshimu na kumthamini kama binadamu yoyote yule. Unakuta mpenzi wako mmesaidiana katika shida na raha lakini mwisho wa siku mnapishana kama manyani..duh! hainiingii akilini.
Ipo ile kuonesha kuchukia au kuchukizwa na kitendo fulani, hiyo ni sawa. Na unaweza kukaa kwa muda ili hasira ziishe lakini sio kujivisha roho mbaya ya shetani na kuanza kukomoana sijui unaanza kusambaza picha mlizopiga wakati mlipokua wapenzi mkiwa kwenye furaha ya mahaba ya dhati sio Vizuri. Mkikutana uzeeni mtaoneana aibu. Tenda mema utakutana na neema mbele ya safari.
Mimi labda nipo tofauti na wengine, Hivi mkikorofishana na Mpenzi wako haummiss kabisa? Mwenzenu hata kama kaniudhi vipi naendelea kummiss hadi nakonda sema najikaza tu. Vipi wewe mwenzangu.
Naombeni experience ya haya mambo, Je wewe unayachukuliaje?
Nawapenda sana ndugu zangu wanajamiiforums. Mia
Hivi kuchoma moto picha za mpenzi wa zamani ikiwemo kuchoma cards na zawadi mbalimbali, kudelete jina kwenye simu, kumunfriend kwenye mitandao ya kijamii ikiwa ni pamoja na kumblock, kumtangazia sifa mbaya yaani kila baya ni lake, je ina tija?
Mimi naona sio Vizuri, inakua ni Mihemko tu. Inakuaje mtu unasahau mazuri yote Mliyotendeana mlipokua wapenzi hadi mfikie hatua hiyo? Kitendo kama hicho ndo nasema ni mkono wa shetani unakua unatenda kazi.
Kwa mfano mimi sijui kuacha au kumchukia kupita kiasi aliyekua Mpenzi wangu, hua naendelea kumheshimu na kumthamini kama binadamu yoyote yule. Unakuta mpenzi wako mmesaidiana katika shida na raha lakini mwisho wa siku mnapishana kama manyani..duh! hainiingii akilini.
Ipo ile kuonesha kuchukia au kuchukizwa na kitendo fulani, hiyo ni sawa. Na unaweza kukaa kwa muda ili hasira ziishe lakini sio kujivisha roho mbaya ya shetani na kuanza kukomoana sijui unaanza kusambaza picha mlizopiga wakati mlipokua wapenzi mkiwa kwenye furaha ya mahaba ya dhati sio Vizuri. Mkikutana uzeeni mtaoneana aibu. Tenda mema utakutana na neema mbele ya safari.
Mimi labda nipo tofauti na wengine, Hivi mkikorofishana na Mpenzi wako haummiss kabisa? Mwenzenu hata kama kaniudhi vipi naendelea kummiss hadi nakonda sema najikaza tu. Vipi wewe mwenzangu.
Naombeni experience ya haya mambo, Je wewe unayachukuliaje?
Nawapenda sana ndugu zangu wanajamiiforums. Mia