Hivi ndo akina Mwingulu na wenzake wa CCM walivyo bungeni.......

tara

Senior Member
Jun 5, 2012
189
61
hiki kibonzo kimenifurahisha sana,kinaoyesha jinsi gani wabunge wengi wa chama tawala walivyo wanafiki wachangiapo mijadala ya bajeti bungeni...

SOURCE:katuni majira.
 

Attachments

  • katuni majira 15_6_2012.jpg
    katuni majira 15_6_2012.jpg
    78.7 KB · Views: 280
mimi nachoka kabisa wanapokosoa alafu mwisho anaunga hoja. kuna ile wanaosema ndio wangapi na sio basi ndio wameshinda niliiona wakati wa bajeti ya wizara ya maji lol hata mtoto alisikia walosema sio ndo wengi
 
Back
Top Bottom