tindikalikali JF-Expert Member Jan 14, 2011 4,855 1,117 Jun 7, 2012 #1 Attachments hivi ndiyvyo.jpg 79.1 KB · Views: 2,791
Gwankaja Gwakilingo JF-Expert Member Jan 26, 2012 1,996 615 Jun 7, 2012 #2 Asante sana Comrade Tindikali
samstevie JF-Expert Member Nov 11, 2011 202 31 Jun 7, 2012 #7 Kaka nashukuru sana ila magamba ugongwa wa taifa ni kirusi hatari zaidi ya UKIMWI ninabadilika kila sekunde kutegemea na mazingira.
Kaka nashukuru sana ila magamba ugongwa wa taifa ni kirusi hatari zaidi ya UKIMWI ninabadilika kila sekunde kutegemea na mazingira.
Riwa Platinum Member Oct 11, 2007 2,607 3,068 Jun 7, 2012 #8 Sasa anadanganywa nani hapa..kama sio kijidanganya wenyewe!?
tindikalikali JF-Expert Member Jan 14, 2011 4,855 1,117 Jun 7, 2012 Thread starter #9 Gwankaja Gwakilingo said: Asante sana Comrade Tindikali Click to expand... pamoja sana
tindikalikali JF-Expert Member Jan 14, 2011 4,855 1,117 Jun 7, 2012 Thread starter #10 Riwa said: Sasa anadanganywa nani hapa..kama sio kijidanganya wenyewe!? Click to expand... Hata mgonjwa anayeelekea kufa hujifariji kwamba atapona
Riwa said: Sasa anadanganywa nani hapa..kama sio kijidanganya wenyewe!? Click to expand... Hata mgonjwa anayeelekea kufa hujifariji kwamba atapona
K Kifulambute JF-Expert Member May 8, 2011 2,539 755 Jun 7, 2012 #11 hahahahhahaahhahahahahahahahahahahahhahahahah niliishasema CCM ni zaidi ya nyani ng'abu
dubu JF-Expert Member Oct 18, 2011 3,496 3,461 Jun 7, 2012 #14 tindikalikali said: Click to expand... na hii ndo ilichangia kushindwa ARUMERU MASHARIKI. Hizi picha wanaziweka front page ya magazeti yao. Kikwete anajua chama kinakubalika kumbe hola.
tindikalikali said: Click to expand... na hii ndo ilichangia kushindwa ARUMERU MASHARIKI. Hizi picha wanaziweka front page ya magazeti yao. Kikwete anajua chama kinakubalika kumbe hola.
luvcyna JF-Expert Member Feb 24, 2009 1,848 1,938 Jun 7, 2012 #15 Nape au rejao atafutwa kuondoa huu utata...
luvcyna JF-Expert Member Feb 24, 2009 1,848 1,938 Jun 7, 2012 #16 umewapendelea mno kwa kuonyesha only 2 times..ukitazama kwa makini mtu mmoja ame tokelezea mara tatu
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Jun 8, 2012 #19 Mende0 said: Hiyo nyomi ilikuwa wapi? Click to expand... Forged Nyomi for correction