we umesahau na ud
Unakuta chuo kama SAUT LL,B wanachukua mpaka iii.17 jamani huu ni ujinga mtupu halafu eti unakuta ana G.P.A ya 4.5 duh hii ni hatari chunguzeni wengi wenye three chafu wapo saut,university of arusha,ruco,,mwenge,teku huko ndo wamejaa
Eti na wewe umepta Chuo...hapo sasa umejibu nini?ume argue up.upu gani?bdala ya kujibu content unajibu ambavyo ata havihusu ndo nyie mkifka kwenye paper mnaanza kuandka majibu yote Kwa herufi kubwa kwekwwkwee sitomsahau dr mbamba watu kama nyie alikuwa anawadiscolisha wote its a big sign of illiteracy!.... na Kwa infor yako ata kabla sijakudosea proffesion yangu wewe kuku ...wayahudi uwa hawaoi mambumbumbuuu...ni wewe tuu haujui...kama hauna hoja za kuchangia Fanya mengne hauna kalale
muke ya muyahudi soma post yangu #134 utaona niliyohoji juu ya mleta Uzi! Duh...Muke..muke..muke...ya nani???.....Ila wayahudi wapo very bright kasoro wewe tu!!!hahaaa...yaani sijaingia JF mida sana, ila nimekutana na post zako...nikipata time ya kutosha nitajaribu kukujibu...!! Mimi sina haja ya kujua taaluma yako, bali maandishi yako tu yanatosha kunipa majibu kuwa proffesion yako ni .....
muke ya muyahudi soma post yangu #134 utaona niliyohoji juu ya mleta Uzi! Duh...Muke..muke..muke...ya nani???.....Ila wayahudi wapo very bright kasoro wewe tu!!!hahaaa...yaani sijaingia JF mida sana, ila nimekutana na post zako...nikipata time ya kutosha nitajaribu kukujibu...!! Mimi sina haja ya kujua taaluma yako, bali maandishi yako tu yanatosha kunipa majibu kuwa proffesion yako ni .....
Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT 2.Arusha university 3.tia 4.cbe 5.teofilo kisanji 5.MUCCoBS ,ahsanteni
Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT 2.Arusha university 3.tia 4.cbe 5.teofilo kisanji 5.MUCCoBS ,ahsanteni
mkuu nimecheka sanaaaaaaaaaHebu tupe na list ya mambumbumbu tuone, maana ni wazi utakua unaiongoza, yaani hujui hata ikitoka 5 inafuata 6!!??
Hauna cha kunijibu and that's why umechukua mda saana kuwazua cha kujibu..poor naive jamanii..na bado umekuja na pumba..ockay sawa endelea kujipanga you might come out with a better thinking next time...kwakwakweeeh