manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,723
- Thread starter
- #41
Nampenda sana sana wife na c kila jambo huwa nampinga ila uhuru wa ndoa c kuridhishana hata mamb yasiyo na tija man..... kwenye ukwel inabidi tuelezane hata kama c wakufurahishana...Una bahati sana wife wako kakushirikisha kwenye mipango yake ya mkopo.
Wenzako wanakopa na kujiendeleza kivyao. Shukuru mungu kwa hilo kwanza.
Pili, shukuru mungu mkeo ana mipango ya kuboresha maisha yenu kwa uwezo mlio nao sasa.
Hiyo kauli ya Ipo siku, hata siku moja haitakuja timia bana. Ipo siku ni kauli ya waliokata tamaa.
You only have "today" to live! Ya kesho huyajui, wasiwasi wa nini? Ya kesho yatajitatua yenyewe.
Chanzo cha mkeo kununa inawezekana ni hiyo tabia yako. Kila anapokushirikisha kwenye jambo,
wewe unakuwa ni muamuzi wa mwisho. Tabia mbaya sana, Acha nae awe na maamuzi yake,
Ndio Uhuru wa ndoa huo. Taratibu isijefikia mke akajiona hana kauli ndani ya nyumba.
Kubali achukue huo mkopo mboreshe maisha yenu ya leo.