Hivi ndio ndoa zilivyo?

...Una bahati sana wife wako kakushirikisha kwenye mipango yake ya mkopo.
Wenzako wanakopa na kujiendeleza kivyao. Shukuru mungu kwa hilo kwanza.

Pili, shukuru mungu mkeo ana mipango ya kuboresha maisha yenu kwa uwezo mlio nao sasa.
Hiyo kauli ya Ipo siku, hata siku moja haitakuja timia bana. Ipo siku ni kauli ya waliokata tamaa.
You only have "today" to live! Ya kesho huyajui, wasiwasi wa nini? Ya kesho yatajitatua yenyewe.

Chanzo cha mkeo kununa inawezekana ni hiyo tabia yako. Kila anapokushirikisha kwenye jambo,
wewe unakuwa ni muamuzi wa mwisho. Tabia mbaya sana, Acha nae awe na maamuzi yake,
Ndio Uhuru wa ndoa huo. Taratibu isijefikia mke akajiona hana kauli ndani ya nyumba.

Kubali achukue huo mkopo mboreshe maisha yenu ya leo.
Nampenda sana sana wife na c kila jambo huwa nampinga ila uhuru wa ndoa c kuridhishana hata mamb yasiyo na tija man..... kwenye ukwel inabidi tuelezane hata kama c wakufurahishana
 
Nampenda sana sana wife na c kila jambo huwa nampinga ila uhuru wa ndoa c kuridhishana hata mamb yasiyo na tija man..... kwenye ukwel inabidi tuelezane hata kama c wakufurahishana

...definately right. Huyo ni mkeo, na hiyo ni ndoa yako. Ushauri wangu ume base kwenye experiences zangu.
Nimechangia maoni yangu kwa kadri ya uelewa wangu (nilivyokusoma;)

...wish you the best outcome on this bro.
 
Habarini wandugu,
Wife kaniambia anataka achukue mkopo kazini kwao kama 1.5mil nikamuuliza kwa ajili ya nini akaniambia nataka kuongeza baadhi ya vitu hapa ndani nikamwambia sawa lakini hiyo 1.5m mbona tunaweza kupata kwa mwezi 1 bila we kuchukua huo mkopo kazin?Nikamwabia tuweke bajeti ya pesa kwa ajili ya hivyo vitu unavyotaka then tutavinunua tu.Nikamwambia ipo siku tutajakwama na hapo ndo utachukua mkopo ila kwa sasa sababu hatuna shida ya haraka hivyo haina haja ya kuchukua huo mkopo japo huo mkopo hauna riba ila nikamwambia unaweza chukua leo hiyo 1.5m then baada ya mwezi ikatokea issue ambayo ni urgent inataka pesa tutafanyaje na kama kwa upande wangu mi nikiwa nimekwama kpesa?Kwa sababu mi sikuona umuhimu wa kuchukua hiyo pesa sana nikamwambia aache.Ghafla akabadilika akanza kununa huwa tunakula pamoja nikaona anatenga chakula kila mtu na sahani yake,usiku hataki hata nimsogelee.

Basi asubuhi nikamwambia isiwe tabu sababu mshahara ni wako fanya vile unataka sintokuuliza wala kukuambia chchote kuhusu mshahara wako.Ila toka juzi hatuko vizuri nikitoka kazin nikimsalimia anaitika kama hataki ki ukweli inanikera sana.

Na shida ni kwamba hii ndio tabia yake yaani mkitofautiana maneno kidigo atanuna hapo hadi mi nijifanye mjinga kumwambia mama acha kununa na ile na ile basi ndo uhusiano unarudi tena.Ila nataka nijaribu kuona trip hii nione mwisho utakuwaje coz najua anasubiria nimwambie mama acha kununa.
Naomba munishauri sasa nifayeje wanandoa wenzangu?

nuna na wewe
 
Bwana mzee issue si kumchunga ila wakati wote lazima uwe suspicious,km kuna jambo baya laja ulitatue mapema.Huyo ni MY WIFE WAKO WA KUFA NA KUZIKANA.Maendl kila mtu anataka lakin si kwa kukurupuka na proposals zisizo someka.Pole lkn tuliza bongo.
 
Habarini wandugu,
Wife kaniambia anataka achukue mkopo kazini kwao kama 1.5mil nikamuuliza kwa ajili ya nini akaniambia nataka kuongeza baadhi ya vitu hapa ndani nikamwambia sawa lakini hiyo 1.5m mbona tunaweza kupata kwa mwezi 1 bila we kuchukua huo mkopo kazin?Nikamwabia tuweke bajeti ya pesa kwa ajili ya hivyo vitu unavyotaka then tutavinunua tu.Nikamwambia ipo siku tutajakwama na hapo ndo utachukua mkopo ila kwa sasa sababu hatuna shida ya haraka hivyo haina haja ya kuchukua huo mkopo japo huo mkopo hauna riba ila nikamwambia unaweza chukua leo hiyo 1.5m then baada ya mwezi ikatokea issue ambayo ni urgent inataka pesa tutafanyaje na kama kwa upande wangu mi nikiwa nimekwama kpesa?Kwa sababu mi sikuona umuhimu wa kuchukua hiyo pesa sana nikamwambia aache.Ghafla akabadilika akanza kununa huwa tunakula pamoja nikaona anatenga chakula kila mtu na sahani yake,usiku hataki hata nimsogelee.

Basi asubuhi nikamwambia isiwe tabu sababu mshahara ni wako fanya vile unataka sintokuuliza wala kukuambia chchote kuhusu mshahara wako.Ila toka juzi hatuko vizuri nikitoka kazin nikimsalimia anaitika kama hataki ki ukweli inanikera sana.

Na shida ni kwamba hii ndio tabia yake yaani mkitofautiana maneno kidigo atanuna hapo hadi mi nijifanye mjinga kumwambia mama acha kununa na ile na ile basi ndo uhusiano unarudi tena.Ila nataka nijaribu kuona trip hii nione mwisho utakuwaje coz najua anasubiria nimwambie mama acha kununa.
Naomba munishauri sasa nifayeje wanandoa wenzangu?

Mkeo na mywife wangu sawasawa hivyo wanajf wanavyokushauri na mimi napata. Ila mimi pia huwa nanuna ila siku nikiwa na hamu naye kwa ajili ya kummega nalainiiika hadi anipe na baada ya hapo tena nanuna, basi ndo maisha yetu.
 
Mkeo na mywife wangu sawasawa hivyo wanajf wanavyokushauri na mimi napata. Ila mimi pia huwa nanuna ila siku nikiwa na hamu naye kwa ajili ya kummega nalainiiika hadi anipe na baada ya hapo tena nanuna, basi ndo maisha yetu.

mwanaume hanuni wewe mwanaume anauchuna....lugha yako nayo ovyo tu ndio mana unanuana nuna...unaweza kusema unamfanyie hivyo mkeo?...uwe na adabu kidogo.
 
Manuu. wakati mwingine inabidi utumie gia kubwa kuendesha ndoa kama mwanaume. Ashakuona Bushoke, ndo maana anakununia. Ila kama mwanaume, inabidi umzibiti mkeo. Kwa mfano akinuna, mwambie wazi kuwa 'kwa kuwa tumetofautiana maoni ndio maana umenuna? Ok fine, usiniombe ushauri tena...'. Then Na wewe mchunie, ukitoka job tafuta hata shughuli ya kufanya nje ya nyumbani, na urudu late fulani hivi. Jifanye unampotezea, ila unaongea nae kama 'mfanyakazi mwenzio', yaani hakuna cha hny, wala kubembeleza. Nakwambia ndani ya siku tatu utakoma, na hatarudia tena...
 
hilo si la kubembeleza, atazoea uyo, ni vema ukakaa na mkeo na kumuonya tabia yake ya kununa.
na wala usimpe ruhusa ya kwenda kuchukua mkopo kwa hasira, zungumzeni na kuelewana .
 
Mkeo na mywife wangu sawasawa hivyo wanajf wanavyokushauri na mimi napata. Ila mimi pia huwa nanuna ila siku nikiwa na hamu naye kwa ajili ya kummega nalainiiika hadi anipe na baada ya hapo tena nanuna, basi ndo maisha yetu.

Hehehe jf bana mtu utacheka hata kama hutaki mwe! mbavu zangu.

Mtoa mada zungumza na mkeo na umueleze ukweli tabia yake ya kununa itamsababishia matatizo mbeleni. Kuna mkaka alinichekesha kwamba akikwambia kitu ukinuna utajuta, kama alichelewa kurudi ukanuna basi ndio unakua umemtuma. anaanza kuwa anarudi asubuhi kabisa mpaka akili ikukae sawa, huyo mkeo ana bahati kuna watu wamepinda. Wadada tujifunze kupitia thread kama hizi wapendwa
 
Sioni kwa nini anune kwa wewe kumzuia kuchukua mkopo ofisini. Jaribu kuchunguza taratibu, I am trying to think outside the box. Inawezekana kuna libosi linamtaka na lina mapesa. Sasa anaogopa akionekana ana mapesa utamuuliza kayatoa wapi.

Kwa nini anang'ang'ania kuchukua mkopo kwa vitu ambavyo mnaweza kuvinunua bila hata kuchukua mkopo? Au huko ofisini kwao kuchukua mkopo ni fasheni?
 
Hehehe jf bana mtu utacheka hata kama hutaki mwe! mbavu zangu.

Mtoa mada zungumza na mkeo na umueleze ukweli tabia yake ya kununa itamsababishia matatizo mbeleni. Kuna mkaka alinichekesha kwamba akikwambia kitu ukinuna utajuta, kama alichelewa kurudi ukanuna basi ndio unakua umemtuma. anaanza kuwa anarudi asubuhi kabisa mpaka akili ikukae sawa, huyo mkeo ana bahati kuna watu wamepinda. Wadada tujifunze kupitia thread kama hizi wapendwa

Well said. Nachukia sana kununiwa! Yaani huwa inanikera sana!
 
Mimi nadhani katika maisha ya ndoa hakuna changu wala chako bali CHETU. Ushauri uliompa mkeo ni mzuri kwa maendeleo ya familia yenu. Nadhani jaribu kuongea naye taratibu na kumjulisha kuwa wewe ndio mshauri wake wa karibu katika mipango yote inayohusu familia yenu. Anapaswa akusikilize kwani kununa sio suluhisho la matatizo.
 
Pole Manuu!Jambo la muhimu kumbuka katika ndoa,mwanaume ndiyo kichwa cha ndoa ni wajibu wako kuipa ndoa yako mwelekeo!Neno la Mungu lasema..."kadhalika ninyi WAUME,kaeni na WAKE zenu kwa akili;na kumpa mke heshima kama chombo kisicho na nguvu...1Petro 3:7
Akili inahitaji kufundishwa,kuelekezwa,kueleweshwa na ni kazi yako wewe mume,kwa njia yeyote ile kumwelekeza mkeo,kinyume chake atapotea!
Chukua hata hatua ya kumtoa out ili kuzungumzia na kuliweka sawa jambo hili,nadhani atafika mahali atakuelewa tu!Wewe ndiyo mwelekezaji wa ndoa yako!
Nikutakie mafanikio katika kuiongoza ndoa yako na kuepusha na masahibu ya kununiana!!!
(My views!)
 
Habarini wandugu,
Wife kaniambia anataka achukue mkopo kazini kwao kama 1.5mil nikamuuliza kwa ajili ya nini akaniambia nataka kuongeza baadhi ya vitu hapa ndani nikamwambia sawa lakini hiyo 1.5m mbona tunaweza kupata kwa mwezi 1 bila we kuchukua huo mkopo kazin?Nikamwabia tuweke bajeti ya pesa kwa ajili ya hivyo vitu unavyotaka then tutavinunua tu.Nikamwambia ipo siku tutajakwama na hapo ndo utachukua mkopo ila kwa sasa sababu hatuna shida ya haraka hivyo haina haja ya kuchukua huo mkopo japo huo mkopo hauna riba ila nikamwambia unaweza chukua leo hiyo 1.5m then baada ya mwezi ikatokea issue ambayo ni urgent inataka pesa tutafanyaje na kama kwa upande wangu mi nikiwa nimekwama kpesa?Kwa sababu mi sikuona umuhimu wa kuchukua hiyo pesa sana nikamwambia aache.Ghafla akabadilika akanza kununa huwa tunakula pamoja nikaona anatenga chakula kila mtu na sahani yake,usiku hataki hata nimsogelee.

Basi asubuhi nikamwambia isiwe tabu sababu mshahara ni wako fanya vile unataka sintokuuliza wala kukuambia chchote kuhusu mshahara wako.Ila toka juzi hatuko vizuri nikitoka kazin nikimsalimia anaitika kama hataki ki ukweli inanikera sana.

Na shida ni kwamba hii ndio tabia yake yaani mkitofautiana maneno kidigo atanuna hapo hadi mi nijifanye mjinga kumwambia mama acha kununa na ile na ile basi ndo uhusiano unarudi tena.Ila nataka nijaribu kuona trip hii nione mwisho utakuwaje coz najua anasubiria nimwambie mama acha kununa.
Naomba munishauri sasa nifayeje wanandoa wenzangu?


unajua manuu,hawa wake zetu ndivyo walivyo,
wengi wao wana vitabia vya kudeka namna hiyo,
usijelipiza kisasi kwenye mapenzi,
ni mbaya sana kwani madhara yake ni makubwa,
wewe mvumilie tu kwani utapungukiwa nini,
jishushe, kisha msikilize anataka nini, kama ni kubembelezwa basi jitahidi ufanye hivyo,
unajua wakati mwingine ukileta sana ubabe, na uanaume mambo mengi huwa hayaendi,
na utajikuta unafichwa mambo mengi bila kujua ndani ya nyumba!
 
Sioni kwa nini anune kwa wewe kumzuia kuchukua mkopo ofisini. Jaribu kuchunguza taratibu, I am trying to think outside the box. Inawezekana kuna libosi linamtaka na lina mapesa. Sasa anaogopa akionekana ana mapesa utamuuliza kayatoa wapi.

Kwa nini anang'ang'ania kuchukua mkopo kwa vitu ambavyo mnaweza kuvinunua bila hata kuchukua mkopo? Au huko ofisini kwao kuchukua mkopo ni fasheni?


good assumption!
 
<p>
Mh,huyo kuna jamaa anamlisha huko na kahitaji hela ndo mbinu ya kuzipata hiyo!</p>
<p>Ukimruhusu tu utasikia anakwambia kaibiwa
</p>
<p>&nbsp;</p>

Speaker hilo neno, au Kama sivyo ana buzi ameshalichuna hiyo hela ndio anataka kununulia hivyo vitu sasa ili wewe usimind ndio anajidai anataka kuchukua mkopo usio na riba kazini, fungua macho baba wanawake ni wajanja balaaa
 
Oohh jamani
nimeipenda story
yako kweli..
THIS IS REALY LOVE
mmbeleze mama bwana
Rahaa kweli kama mwanaume wako
akiwa anakudekeza

Borea hata huyu
Anataka kubembelez wa
tu..mmmhhh ungempata
Yule mpaka BM ndo mtapatana..

Kesho rudi home
Mapema mpikie,weka
wine juu yA meza
A bunch of Rosess ,
Mishumaa mmmhhh..

Yes u do have teenager love..
Look after her..

Ps. .sijaolewa natarajia..
Samahani maana ulisema kwa walio olewa tu..
Umechumbiwa?
 
Nimejaribu kumchunia hadi sasa nahisi kama vile naanza kumchukia

........una lako jambo wewe, yaani kumbembeleza mkeo unaona shida hadi unaamua kumchukia.Wanaume wengine bana.............
 
Back
Top Bottom