Hivi Mzumbe University siku hizi mbona haivumi?

Jivunie ulichuambulia hapo chuoni, yaani namaanisha uwezo binafsi wa kutumia yale uliyojifunza kwa manufaa sio kwa sababu udsm inamaprofesa wengi basi udhani na knowledge itaingia yenyewe kichwani
 

Utumbo ni upi kati ya haya;Kukaa kushindanisha vyuo ati MZUMBE v/s UDSM,UDOM v/s MZUMBE hivi vinatusaidia nini katika kuboresha elimu yetu kufikia kiwango cha kimataifa? Acheni ufinyu wa mawazo halafu mkiambiwa manakuja na hasira zenu zisizo na tija,hapo mnajadili uharo...hakuna msomi atakaye kubali kujadili upunguani huu wa kulinganisha vyuo...Kwataarifa yako vyuo vikuu vya Tanzania kimataifa ni mavi matupu,kila siku vinapotea kwenye akili za watu wenye akili timamu...Wekeni mada tufanye kuboresha elimu yetu ya juu sio UDOM v/s UDSM huu ni ukichaa...

nani mwenye hasira? Tatizo lako unatumia lugha mbaya.
''unaweza ukawa na haki, lakini njia unayoitumia kudai haki yako ikawa mbovu na ukaendelea kukosa haki'' ustaarabu kitu cha muhimu. Sio unatukana tukana tu chuo kizima kwa sifa aliyonayo mtu mmoja.
 
Acheni ujinga nyie....kama Senetor yupo hivyo...ni yeye. Na sio kufananisha wanafunzi wote wa UDSM kuwa wapo kama yeye.
 
Nakumbuka mwaka 2009 wakati ndo nimemalza 4m 6,mzumbe university walikua wanaringa kuchukua wanafunzi 2naotegemea Heslb na badala yake wakawa wanachukua wa2 wenye dv 3 wengi kwa kigezo cha kwamba wao ni private sponsered.kiukwel mwenyewe wakati niko secondary nlikua na ndoto za kusoma mzumbe cku moja kutokana na sifa kem kemu nlzokuaga nazckia zikikitangaza hcho chuo,bac ikatoe muda wa kufanya application ulvofka,nkaaply udsm,mzumbe,IAA na udom,Matokeo yangu hayakuwa mabaya sana kiac cha kunifanya nikose chuo chochote hapa ulimwenguni..cha kushangaza selection zlvotoka nkawa nimepata udsm,IAA,na Udom lakini mzumbe wakawa wamenipga chini,wel nkaconfirm zangu kwenda udsm lakini nkiwa na huzuni kwan chaguo langu lilikua mzumbe na wao wamenpga chini,kufika udsm na nilipozoea shule..nkaanza kufanya comparisons kati ya udsm na mzumbe nione wapi pana shule ya ukweli,nkaja kugundua kwamba mzumbe wanahitaji miaka takribani 50 ili kufikia nusu ya mafanikio ilyonayo udsm..sasa nkawa najiuliza zile mbwembwe nlzokua nazkia kuhusu mzumbe zlikua ni za nin?baadae tcu wakashka rungu la kupangia wa2 vyuo,ndo siisikii tena hyo mzumbe kabisa,cjui imefia wapi vile,nimebaki kuckia madogo wakikimbilia kuaply udsm,sua,udom,ifm na muhimbili..cjui wamegundua mchezo gani mchafu unaochezwa huko mzumbe hadi hawakishobokei tena kama enzi ze2...

Mtu mzima akikutwa yuko uchi huchuchumaa kuficha baadhi ya sehemu zisionekane. Umekamatwa upo uchi, chuchumaa.
 
akili hazikutoshi wewe!!. Umetoroka mirembe.

we mpuuzi baada ya kudisco udom kutwa nzima unatangatanga jf ku-post utumbo na mharo, usiokua na kichwa, we chizi, nakushauri utafute chuo kingine japo kupunguza huo uwenda-wazimu we gay.stupid stupid.
 
we mpuuzi baada ya kudisco udom kutwa nzima unatangatanga jf ku-post utumbo na mharo, usiokua na kichwa, we chizi, nakushauri utafute chuo kingine japo kupunguza huo uwenda-wazimu we gay.stupid stupid.

nashukuru kwa ushauri wako, japo haujafikirisha ubongo wakati wa kuandika.

Pole sana.
 
Very poor analysis. The writing itself speaks it all! Jitahidi kujenga hoja zenye mshiko wa kitaaluma iwapo kweli ni mwanafunzi wa chuo kikuu.
 
Kilivumaje mkuu? labda kipindi hicho kinaitwa IDM ila si sasa Mvomero University hakisikiki sana
 
Madogo acheni kuzingua tumeni na mjibu mambo yenye maana post kama hizi hazisaidii nch,we umekaa kujisifia upuuzi wakati viongoz wenu hawaudhurii hata msiba wa ndugu zetu migodoni kafa mchna moja wamejazana kwenye msiba huku wakijibu maswali kibao kama wao ndyo wauaji,tunalipa mikataba mibovu halafu walioingia hyo mikataba hawachukuliwi hatua'we kaa chini piga msuli malizia hyo socialogy,acha kufikiria mambo ya Mzumbe walinipga chini!kwan usipoangalia hapo kwenye mdigree hautofika utaishia kushangaa Nkurumah
 
Kuna taarifa kuwa Mzumbe wana-mpango wa kuondoa reseach kwenye program za masters,sijui ni kweli au lah,mwenye uhakika anijuze.
 
mgando mgando
Upupu upupu upupu
Matope matope matope
Wote mnapoteza nguvu zenu
Mnapoteza muda
Mnapoteza chakula tumbon mwenu,kujadiri ubora wa vyuo.shame on yu all.
Acheni haya matapishi hayana tija kwa taifa letu...
 
mgando mgando
Upupu upupu upupu
Matope matope matope
Wote mnapoteza nguvu zenu
Mnapoteza muda
Mnapoteza chakula tumbon mwenu,kujadiri ubora wa vyuo.shame on yu all.
Acheni haya matapishi hayana tija kwa taifa letu...

wangejua soko la ajira halina upendeleo wa chuo chochote,wangekaa kimya.
 
Kuna taarifa kuwa Mzumbe wana-mpango wa kuondoa reseach kwenye program za masters,sijui ni kweli au lah,mwenye uhakika anijuze.

nimeulizia kwenye department yao ya quality assurance nimeambiwa hakuna k2 kama hcho
 
Mzumbe haiwezi kuvuma mpaka watakapowatoa makanjanja wa elimu (LECTURERS wenye degree feki)
 
nimefanya TP mara 2 na wanafunz wa UD ,walikuwa hawajui hata kuandaa scheme of work,Weng wao ni weupe vichwani.
 
productza sasa UD ni mbovu sana,wao wanajivunia uzee wa chuo chao wakat wanajua vichwa vyao vitupu,they are real insane
 
Back
Top Bottom