Baikal Aguido
Member
- Jul 13, 2009
- 13
- 0
Hili ni swali hususan kwa kaka zetu.
Hivi sasa inaonekana ni hali ya kawaida na ni kama haki ya msingi kwa mume au wachumba jinsia ya kiume kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja.
Wakati huohuo, binti au mke anapokuwa na uhusiano wa kimapenzi nje ya mpenzi'ye au mumewe huwa anaonekana kama doa katika jamii.
Swali langu ni hivi, je tatizo liko wapi katika hili?
Hivi sasa inaonekana ni hali ya kawaida na ni kama haki ya msingi kwa mume au wachumba jinsia ya kiume kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja.
Wakati huohuo, binti au mke anapokuwa na uhusiano wa kimapenzi nje ya mpenzi'ye au mumewe huwa anaonekana kama doa katika jamii.
Swali langu ni hivi, je tatizo liko wapi katika hili?