WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
kha! umepikiwa, umepakuliwa sasa mpaka ulishwe! haya basi jibu ni si dhambi kabisa endapo mwenzake hamtekelezei...
Penny bwana!
Unaniachaga hoi kwa mitizamo yako....
Nakupongeza kwa ujasiri wako wa kusimamia maoni yako ndugu yangu. Hii ni bora kuliko kuwa mnafiki.