Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Mimi ni mteja wa kampuni ya voda na ninatumia modem ya voda.Hata hivyo, hivyo nashindwa kuelewa hizi modem zina tatizo gani.Kwa mfano ninaweza kuweka bundle sh 700 nikatumia karibu masaa 24 kwa kuperuzu tu ila cha ajabu siku nyingine naweza weka hiyo hiyo bundle sh 700 na nikwa na peruzi tu lakini bundle hiyo inakiwishi chini ya muda wa saa moja au mawili tu.Matumizi yangu ni yale yale tu just kuperuzi lakini kifurushi kinavyokwisha nashindwa kuelewa.
Kitu kingine kinachonishangaza ni kuwa naweza kununua kifurushi kwa kuweka line kwenye simu alafu baadae nikahamishia line kwenye modem.Cha ajabu, nikitaka kukonect kwenye internet inagoma mpaka tena nitoe modem kwenye copmuter alafu nichomoe line niweke kwenye simu ala niulize salio la kifurushi kupitia simu ndio tena nirudishe line kwenye modem alafu niweke tena kwenye computer ndio nikikonect kwenye net inakubali.Sasa huu si usumbufu na ni mara kwa mara inatokea.
Naomba mnaojua mnisaidie tatizo ni nini.
Kitu kingine kinachonishangaza ni kuwa naweza kununua kifurushi kwa kuweka line kwenye simu alafu baadae nikahamishia line kwenye modem.Cha ajabu, nikitaka kukonect kwenye internet inagoma mpaka tena nitoe modem kwenye copmuter alafu nichomoe line niweke kwenye simu ala niulize salio la kifurushi kupitia simu ndio tena nirudishe line kwenye modem alafu niweke tena kwenye computer ndio nikikonect kwenye net inakubali.Sasa huu si usumbufu na ni mara kwa mara inatokea.
Naomba mnaojua mnisaidie tatizo ni nini.