Aki The Great
Member
- Jan 18, 2012
- 21
- 1
Wadau nimeona nipost thread yangu hii ili tuweze kuwa na uwanja mpana zaidi wa kujadili mambo kadhaa ya nchi yetu hasa suala la Kilimo na uchumi wa nchi yetu. Ninapata shida sana baada ya kubaini kwamba tumekuwa na matumizi hafifu sana ya ardhi yetu kwanye uzalishaji wa chakula hasa mahindi na mpungu.
Ni aslimia 15 ya ardhi ndiyo imekuwa ikitumika katika uzalishaji wa mazao yote ya chakula na biashara. Katika asilimia hiyo 15 ni asilimia 3-5 tu ya kilimo hapa nchini ndiyo inatumia kilimo cha umwagiliaji.
Je kama taifa tunao usalama wa kutosha wa chakula kwa taifa? Pamoja na kuzalisha kwenye eneo dogo hivyo kilimo kimechangia asilimia 24-26 ya GDP. Jadili
Ni aslimia 15 ya ardhi ndiyo imekuwa ikitumika katika uzalishaji wa mazao yote ya chakula na biashara. Katika asilimia hiyo 15 ni asilimia 3-5 tu ya kilimo hapa nchini ndiyo inatumia kilimo cha umwagiliaji.
Je kama taifa tunao usalama wa kutosha wa chakula kwa taifa? Pamoja na kuzalisha kwenye eneo dogo hivyo kilimo kimechangia asilimia 24-26 ya GDP. Jadili