Burn hayo hayakuwa ya kichina china kweli?
na wewe utamkoseshaje raha wakati aliamua mwenyewe kuvaa hivo akijua yuko confotable pole Burn
Pole kaka yangu, next time angalia mara moja then mind your own business!
Tafadhari niite mpwa nitakuita binamu brigita, mmh hayo ma boob yenyewe sidhani kama kuna mwanaume rijali angeweza kuangalia mara moja na kuamaindi hizi owuni bizinesi.
Mimi hapa wa nywele ndefu sio nakuwa speechless tu bali pia motionless
Sasa hapo cha kushangaza au kigeni ni kipi.Wewe ni mgeni wa matiti?Kila siku unayaona,hauridhiki tu?Pengine utakuwa na matatizo fulani.Kwa kweli view niliyoipata nilikuwa natamani daladala isifike hara na foleni ziongezeke kwani mdada alikuwa na blauzi zile za kuachia sehemu kubwa ya matiti yake nje na kwa hakika alikuwa amejaaliwa kifua cha kutamanisha.
?
Kitu kiwe kimefichwafichwa ndo hua kinavutia!!!Sasa hapo cha kushangaza au kigeni ni kipi.Wewe ni mgeni wa matiti?Kila siku unayaona,hauridhiki tu?Pengine utakuwa na matatizo fulani.
Mbona zamani wanawake walikuwa wanatembea vifua wazi bila matatizo yoyote? Kwa nini wanaume wa siku hizi ndio waone shida?
Sasa hapo cha kushangaza au kigeni ni kipi.Wewe ni mgeni wa matiti?Kila siku unayaona,hauridhiki tu?Pengine utakuwa na matatizo fulani.
Mbona zamani wanawake walikuwa wanatembea vifua wazi bila matatizo yoyote? Kwa nini wanaume wa siku hizi ndio waone shida?
Pole mkuu kama ndo ulikuwa umechomekea na mshale ukachomoza dah mpwa mbona aibu vp suruali haikulowa?
Enzi za mwalimu bana,zilikuwz poa sana.hakuna fataki,ubakaji na ushenzi kama siku hiz,lakini watu hata nguo walikuwa hawavai.jamani sijui ule mwisho umekaribia/
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha Mpwa umeniacha hoi kabisa. Mpwa kuna mshikaji badala ya kushuka badala ya kushuka Mbezi Louis akajikuta amefika Kibaha kisa alitegeshewa mzigo. Ila at the end alipata namba ya simu sasa kama ilikuwa taksi bubu alijiju mwenyeweNilipanda daladala nilikuwa naenda Taifa nikakumbana na wowowo la mchina kibaya zaidi akanipa mgongo si unajua daladala za Mbagala mkuu dah kutokana na mfadhaiko nilipitiliza Taifa nikashukia Mtongani kwa Azizi Ally yaani ilikuwa adhabu. Alafu alivaa kasketi kaliko tepeta kanachora kila kitu.
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha Mpwa umeniacha hoi kabisa. Mpwa kuna mshikaji badala ya kushuka badala ya kushuka Mbezi Louis akajikuta amefika Kibaha kisa alitegeshewa mzigo. Ila at the end alipata namba ya simu sasa kama ilikuwa taksi bubu alijiju mwenyewe
Mimi hapa wa nywele ndefu sio nakuwa speechless tu bali pia motionless
Pole sana Burn, shida ni kwamba ulitumbua majicho kupita kiasi...siku nyingine unakodoa mara moja halafu unajisemea sizitaki mbichi hizi.., ku enjoy enjoy tu hivi hivi si vyema, unaweza kuadhirika bure!kina dada wanaovaa hivi kwa sababu wanazojua wao wapo na wataendelea kuwepo hata iweje, ndio maana unachoweza kufanya ni kurekebisha mambo upande wako baaasi
Speechless ndio maana naingia humu JF siku nzima.