Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Sheria ya taifa ya uchaguzi iliyotolewa 30 Juni 2010 chini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, F. M. Werema, ibara/ vifungu 63 (2) (l); 72 (1) (e); na 80 (6) (f) vinasema kuwa moja ya watu wanaoruhusiwa kuingia kwenye kituo cha kupigia kura ni "askari polisi au mtu mwingine yeyote anayehusika na usalama katika kituo cha kupigia kura".
Jamani naomba msaada hapa, je huyu mwingine ndio usalama wa taifa, Green Guard, JWTZ, askari magereza, Knight Support, au nani huyu? Tutamtambuaje kuwa yeye ni mwanausalama kama tunavyomtambua polisi kwa magwanda yake? Je, huu ni ushahidi tosha kwa Dr. Slaa kusema kuhusu usalama wa taifa kuvuruga uchaguzi mkuu?
Jamani naomba msaada hapa, je huyu mwingine ndio usalama wa taifa, Green Guard, JWTZ, askari magereza, Knight Support, au nani huyu? Tutamtambuaje kuwa yeye ni mwanausalama kama tunavyomtambua polisi kwa magwanda yake? Je, huu ni ushahidi tosha kwa Dr. Slaa kusema kuhusu usalama wa taifa kuvuruga uchaguzi mkuu?