Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Nape keshasema VUA GAMBA..VAA GWANDA....VUA GWANDA ....VAAA UZALENDO sijui unauvaaje uzalendo!
hivi najiuliza sana kwanini utoe usafiri?
Kesho ccm watakuwa na mkutano wao pale jangwani sasa sijui wataanikeje.
Maoni
waandike Vua gwanda vaa Gamba