Ziara za rais nje ya nchi zina manufaa makubwa, ona tunaletewa shanga toka India, Doha, Oman na Ulaya, Sisi tunawapa dhahabu, Almasi na Tanzanite etc. hilo bongo la pili
Mshahara mdogo, Kodi kubwa, mfumo wa bei mkubwa; Kwani Kikwete ni rais wa kodi na mifumko ya bei??? Mshahara mdogo ungezaliwa Ulaya, kwani rais alikuomba uzaliwe Tz? bango la saba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.