makabila yenye wasomi wengi Tanzania ni Wahaya , Wachaga , Wangoni , Wanyakyusa, Wajaluo na Wasukuma
mimi mbona sio mchaga wala mhaya...
Anayetibu meno nae ni daktari?Usiombee ukaumwa meno ukaenda Muhimbili. Utakutana nae tena Orijino, dam dam.
:yawn::yawn::yawn:mkuu hapo umenena ila kwa usahii hapo kwa wachagga umegeneralize mno ungesema hivi Wamachame,Warombo, Wakibosho na Wachagga
:yawn::yawn::yawn:Acheni kuleta maada za kikabila hapa JF,
Naomba management ya JF iwafungie members wote wenye ukabila na udini hapa jamvini kunusuru thamani ya WanaJF wote.
It is nonsense to discuss about uchaga humu ndani,CDM haitapata kushinda kamwe kutokana na tatizo hilo la sifa za kijinga......je nyie wachaga si pia mnaongoza kwa ULEVI na WIZI ama mnatufanya watanzania wajinga.Hata serikalini wanaohujumu utendaji wa Kikwete asilimia 80 ni wachaga,pia mnaongoza kwa Kugushi VYETI ili muonekane mumesoma sana. Wizi wa pesa kwenye MABENKI mnaongoza,sasa hivi tunadhibiti hayo ndiyo maana mnajifanya kukipigia DEBE CHADEMA ili muiba sana....HILO halitawezekana kamwe hata MUNGU anajua hilo.
MUNGU IBARIKI TANZANIA....
Profesor Mtulia (Physician) ni mndengereko****** atakuaje dr? nyway nin nimewahi mwona ****** dr wadau sio uongo ila ni mmoja tu ila pia msisahau dr mmatumbi,mdengereko,mzaramo,etc mkawatafute
wahaya na wachaga they run this country....yaani ikitokea hawa jamaa wakagoma effect yake atakuja kuiamua obama...yani sehemu zote nyeti wamezikalia wao na uko ulaya/ughaibuni ndo usiseme yani wahaya yamejaa
............. katika EPA, RICHMOND, MEREMETA na KAGODA hawa ushiriki wao ni kiasi gani ??!:eyebrows:makabila yenye wasomi wengi Tanzania ni Wahaya , Wachaga , Wangoni , Wanyakyusa, Wajaluo na Wasukuma
Usiombee ukaumwa meno ukaenda Muhimbili. Utakutana nae tena Orijino, dam dam.
na kwa UKAFIRI ndio wanaoongoza !Nyie endeleeni kupiga umbea tuu. Wachaga wanasonga mbele kubukua na wanarithishana. Ukicheki maintern pale muhimbili na mwananyamala hospial utakuta ni wale wale wakina shayo, massae, kimaro, mushi, swai n.k
Vipi kuhusu kiwango chao cha uadilifu ? nini mchango wao katika miaka 50 ya Uhuru !? :A S embarassed:hiyu aliemfanyia oparesheni ya kichwa badala ya mguu na wakichwa akafanyiwa kwenye mguu alikuwa dr gani tena...naomba jibu wakuu
na kwa UKAFIRI ndio wanaoongoza !
1.Kufuga, kuuza na kula Kitimoto . 2. Kuabudu Sanamu. 3. Kunywa na kuuza pombe (Ulevi) 4. Kula riba. 5. Ufisadi. 6. Dhulma. 7. Kukwepa Kodi. Wizi Mkubwa. 8. Utapeli (hasa Wahaya) na yanayofanana na hayo !:A S embarassed:
wakuu natazama news kutoka tv yetu ya Tbc'eebanae nilichogundua ni kwamba madaktari bingwa wote walio hojiwa ni wachaga aisee'kumbe wamangi wamejichimbia sana ndani ya nchi hii'namshauri kikwete aje na aidea ya kuchanganya aweke wakwere'e kidogo manake jamaa ana kawivu ka kajinga kweli watu wangu'wachaga walisoma zamani wee nanii achana nao'kwi kwi!
Kuna mmoja nasema wanapeana.... Kumbe udaktari bingwa unapeanwa??.... Aiseee......
Profesor Mtulia (Physician) ni mndengereko
hapo kwenye red ndio pamenifurahisha zaidi.kumbe na cc 2po.aahaa nnee mbwituuuoamakabila yenye wasomi wengi Tanzania ni Wahaya , Wachaga , Wangoni , Wanyakyusa, Wajaluo na Wasukuma