hi hapo kweli ila upo uhusiano kuwa walaji wa ndizi na samak wana akili sana hasa mtoto anapokuwa mdogo ndizi zina asili ya kuimarisha ubongo uliza wataamu
mkuu umenena siri ya wahaya, wachagga na wanyakusa kuwa mbele kielimu ni shauri ya kula ndizi kwa wingi hilo halina ubishi.