rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
wakuu natazama news kutoka tv yetu ya Tbc'eebanae nilichogundua ni kwamba madaktari bingwa wote walio hojiwa ni wachaga aisee'kumbe wamangi wamejichimbia sana ndani ya nchi hii'namshauri kikwete aje na aidea ya kuchanganya aweke wakwere'e kidogo manake jamaa ana kawivu ka kajinga kweli watu wangu'wachaga walisoma zamani wee nanii achana nao'kwi kwi!