Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Nimekuwa nikiangalia baadhi ya maneno kwenye mtandao na nimeshangaa sana kukuta baathi ya maneno karibia lugha zote za duniani huyatumia. mfano:-
Mama karibia lugha zote duniani hulitumia neno hili na kumanisha mzazi wa kike.
Kunabaadhi ya maneno menngine
Mfano Baba kiswahili, Papa ligha ya kitoto kiingereza, Bhabha Kisukuma, kinyamwezi
Vilevile Dad Neno la kitoto la kiigereza likimanisha mzazi wa kiume, dada Neno la kisukuma la kitoto likimanisha mzazi wa kiume.
Nina uliza, hivi kati ya lugha hizi ni lugha ipi iliyotohoa neno kutoka kwa mwingune?
Na kama hivyo lugha zote zimeanzia wapi?
Mama karibia lugha zote duniani hulitumia neno hili na kumanisha mzazi wa kike.
Kunabaadhi ya maneno menngine
Mfano Baba kiswahili, Papa ligha ya kitoto kiingereza, Bhabha Kisukuma, kinyamwezi
Vilevile Dad Neno la kitoto la kiigereza likimanisha mzazi wa kiume, dada Neno la kisukuma la kitoto likimanisha mzazi wa kiume.
Nina uliza, hivi kati ya lugha hizi ni lugha ipi iliyotohoa neno kutoka kwa mwingune?
Na kama hivyo lugha zote zimeanzia wapi?