Hivi Lugha zote zimeanzia wapi?

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,836
Nimekuwa nikiangalia baadhi ya maneno kwenye mtandao na nimeshangaa sana kukuta baathi ya maneno karibia lugha zote za duniani huyatumia. mfano:-
Mama karibia lugha zote duniani hulitumia neno hili na kumanisha mzazi wa kike.
Kunabaadhi ya maneno menngine
Mfano Baba kiswahili, Papa ligha ya kitoto kiingereza, Bhabha Kisukuma, kinyamwezi

Vilevile Dad Neno la kitoto la kiigereza likimanisha mzazi wa kiume, dada Neno la kisukuma la kitoto likimanisha mzazi wa kiume.

Nina uliza, hivi kati ya lugha hizi ni lugha ipi iliyotohoa neno kutoka kwa mwingune?
Na kama hivyo lugha zote zimeanzia wapi?
 
Nimeshawahi kusoma makala kuhusu asili ya maneno "baba" na "mama". Mwandishi alikuwa anahoji "m" ndio herufi ya alfabeti ambayo ni rahisi kushinda zote kuitamka, hata haja ya kufungua kinywa hakuna. Ndio maana aghalabu ni mojawapo wa herufi za kwanza mtoto atamkazo. "a" nayo ni mojawapo wa herufi hizo kwa sababu ya urahisi wa kuitamka.

Sasa, sababu ya mama kuitwa "mama" ni kuwa mtoto huwa anakuwa anatamka sauti mbalimbali randomly ambazo kati ya hizo "ma" ni sauti irudiayo mara nyingi. Kwa hiyo, atumikaye muda mwingi zaidi kwa ajili ya malezi ya mtoto (ambao aghalabu ni mama yake) aliona mtoto often anaitamka sauti ya "ma" repetitively amwonapo, alifikiri ndio jinsi mtoto aliamua kumwita na mama naye alianza kujiita "mama". Hivyo, "mama" likakubaliwa kuwa jinsi mama anavyoitwa.

Halikadhalika, mwandishi alifanya conclusion kwamba neno "baba" likafika kuwa jina la mtu wa mbili atumikaye muda mwingi na mtoto (ambao huwa ni baba yake) kwani sauti ya "b" utamkwaji wake nao ni rahisi sana (ukilinganishwa na sauti zingine za alfabeti) lakini si rahisi kama sauti ya "m" na "a".

Sijui kama etymologists wengi wanakubali na hilio, lakini inaonekana kuwa nadharia yenye mantiki.
 
Nimeshawahi kusoma makala kuhusu asili ya maneno "baba" na "mama". Mwandishi alikuwa anahoji "m" ndio herufi ya alfabeti ambayo ni rahisi kushinda zote kuitamka, hata haja ya kufungua kinywa hakuna. Ndio maana aghalabu ni mojawapo wa herufi za kwanza mtoto atamkazo. "a" nayo ni mojawapo wa herufi hizo kwa sababu ya urahisi wa kuitamka.

Sasa, sababu ya mama kuitwa "mama" ni kuwa mtoto huwa anakuwa anatamka sauti mbalimbali randomly ambazo kati ya hizo "ma" ni sauti irudiayo mara nyingi. Kwa hiyo, atumikaye muda mwingi zaidi kwa ajili ya malezi ya mtoto (ambao aghalabu ni mama yake) aliona mtoto often anaitamka sauti ya "ma" repetitively amwonapo, alifikiri ndio jinsi mtoto aliamua kumwita na mama naye alianza kujiita "mama". Hivyo, "mama" likakubaliwa kuwa jinsi mama anavyoitwa.

Halikadhalika, mwandishi alifanya conclusion kwamba neno "baba" likafika kuwa jina la mtu wa mbili atumikaye muda mwingi na mtoto (ambao huwa ni baba yake) kwani sauti ya "b" utamkwaji wake nao ni rahisi sana (ukilinganishwa na sauti zingine za alfabeti) lakini si rahisi kama sauti ya "m" na "a".

Sijui kama etymologists wengi wanakubali na hilio, lakini inaonekana kuwa nadharia yenye mantiki.
Asante sana. Lakini je ninaweza kupata hicho kitabu ili na mimi nisome?
 
Katika hili la lugha ni zito sana, hamna uthibitisho wa kisayansi unaosema lugha ghani ilianza kwanza ama lugha gani inanguvu zaidi ya mwingine. Kanachochadiliwa na mapokea na maingiliana baadhi ya lugha mbalimbali. Kama wapare wanaweza kuongea kipare na wakaelewa kama ilivyo kwa wasukuma, waha, wazigua, wasumbwa, wamakonde! Hamna anayeweza sema ananguvu zaidi ya mwingine! Ila inapokuja sasa katika mawasiliano, elimu, na heshima kunabaadhi ya lught, kingereza kikiongoza ndio vimebeba nguvu kwa kujulikana na watu wengi - na kwa kutumika katika mifumo ya uzalishaji! lakini ukija na ungene wako ukaenda kumsemesha mtu ambaye hajui kingenge kunafaida gani!
 
Asante sana. Lakini je ninaweza kupata hicho kitabu ili na mimi nisome?

Actually, haya makala nimeyapata hapa JF kwenye thread ya mwaka jana... Ungoje tafadhali, niitafute ile thread nikakuletea link (kama nikifanikiwa kuipata).

EDIT:
Turned out to be easier than I thought, here it is.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom