Is it really possible?
For a young man/woman to be sexually pure until marriage?
Inawezekana kweli?
kwa kijana kubaki msafi kimapenzi hadi ndoa?
Wewe una-define kivipi kuwa kijana kuwa msafi kimapenzi hadi ndoa.. Kiroho au kimwili? Kwani mtu akifanya mapenzi au akipoteza bikira ndio ana chafuka? mbona uongelei kufanya Masturbation au kutumia dildo ni sawa na kufanya mapenzi au sex..
Kinachomchafua mtu kiko kichwani..ni tamaa, uasherati etc.. lakini kuna wengine wameingia kwenye mkumbo kwa kubakwa..etc..hata watoto wa kiume inatokea sana kwa ma-housegirl wetu.. etc..hawa mimi nawahesabia wako safi..kwani hawakuwa na tamaa..
Anyway, kuwa safi siyo kuingiliwa kimwili bali ni kuingiliwa kiroho na shetani mchafu na tamaa zisizo na mpango..
It is possible!
I was married... 5 years ago, at age of 25, while still a virgin.
Yes, inawezekana.