babyclassic
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 227
- 39
Mwanamke katoks upande wa kushoto wa ubav wa mwanaume so mwanamke lazima alLe kushoto kwa mwanamme
Alichunguza maisha ya black Americans na kupata jibu na yuko sahihi kabisaDonald Trump alisema waafrica wanawaza kula na kufanya Ngono jamaa hakukosea!!
hahaah!!tunaogopa kulala mwazo hata mwizi akija akuanze wewe kwanza
Kuweka kitanda kati hutegemea zaidi ukubwa wa chumba na pamoja na ukubwa wa kitanda, vyumba vya uswahilini ukiweka kitanda kati basi ukubwa kuwa kitanda ndo itakuwa kapeti hata mlango haufungi na na ukiingia tu unarukia kitandaniMkuu uko sahihi.
Wengine mambo ya kubana kitanda ukutani tumesahau siku nyingi. Kubanisha kitanda ukutani hata kutandika inakuwa tabu; kama ni kipana shurti upande kitandani wakati wa kutandika!
Kwa sababu ni waoga.Wakuu,
Kuna utafiti nimeufanya ambao umenishangaza kidogo, wanawake wengi wakipenda kulala upande wa ukutani wa chumba.
Sasa nimekosa majibu yenye kueleweka yanayowafanya wao wapende kulala ukutani nikaona ni vizuri ni niwashirikishe katika utafiti wangu na nyie.
Wakuu kama kuna ajuaye anihabarishe tafadhali
Kuweka kitanda kati hutegemea zaidi ukubwa wa chumba na pamoja na ukubwa wa kitanda, vyumba vya uswahilini ukiweka kitanda kati basi ukubwa kuwa kitanda ndo itakuwa kapeti hata mlango haufungi na na ukiingia tu unarukia kitandani
mi napenda kulala mwanzo....hapo veepeetang'ana mzee wa udsm...
mambo mengine hutokana na "mapokeo"... kama tumerith vile...kawaida huwa sheria
labda nkuulize mfano tatizo likitokea night nani wakwanza kutoka kwenda kukabiliana na tatizo? mf mwizi...
japo ni nje..mkuu ndani ya miezi kadhaa umelala na wadada zaidi ya wanne... sirias.? and ur confident enough to speak out....
Unaoneka mtaalam wewewanawake watano tofauti wote umewapeleka kwako wakalalia kitanda chako
ndani ya miezi minne?
Labda ukutani ni rahisi ku fake orgasm..
wanatazama ukuta na kujificha sura baada ya kukudanganya walikuwa wamepagawa
waoga sanaWakuu,
Kuna utafiti nimeufanya ambao umenishangaza kidogo, wanawake wengi wakipenda kulala upande wa ukutani wa chumba.
Sasa nimekosa majibu yenye kueleweka yanayowafanya wao wapende kulala ukutani nikaona ni vizuri ni niwashirikishe katika utafiti wangu na nyie.
Wakuu kama kuna ajuaye anihabarishe tafadhali