Hivi kwanini wanawake hata mkiwa na hela zenu bado mtamuomba mwanaume hela?

Watu sijui wanafanyaga nini kipindi cha uchumba!!! Kuna haja ya kila kijana kusoma vitabu vya kuhusu uchumba na ndoa kwa kweli. Ishu ya finances katika ndoa inabidi ijadiliwe kabisa ili huko baadae msije shikana mashati na kulaumiana.
Nyie wawili ndo mna maamuzi ya jinsi mtakavyotumia hela yenu.
Kama mtachanganya pamoja na kupanga bajeti ya nyumba pamoja ni sawa!
Kama mtagawana majukumu ni sawa pia.
Kama kila mtu atafanya anachotaka ni sawa kabisa
Na kama mkiamua hela ya mmoja haimuhusu mwingine sio mbaya...
NI NDOA YENU, MAAMUZI NI YENU PIA!
Mwanamke muelewa hana kazi na hela,,na mwanaume muelewa anajua mahitaji ya mkewee. Hela za mwanamke anapaswa kumpa mwanaume zoteeee,,,ila kama tu huyo mwanaume ni muelewa ,km sio muelewa asipewe.
 
hahahaha umenifanya nicheke mkuu kwa sautiii...

Yaani mkuu nikusaidie kitu fanya utavyofanya ila hutomridhisha ...Angalia usije ukaingia madeni tu mkuu..

Ila mie sipotezagi muda kuwaridhisha kwa kila atachokitaka

625475ded2db4278116dabb64529b823.jpg
 
Kwa busara nikizojifunza humu,niliamua kutojihusisha na kipato chake hata shilingi mia,nakomaa mimi kama mimi kuleta mkate mezani,najua nikihoji pesa zake tutagombana tu! Hawa viumbe wa ajabu sana! Huyu wangu aibu hana kabisa,hadi dawa ya meno ananiomba


Eti hana aibu kabisa!!
We nunua tu ndio chaguo lako hilo.
 
wee hakikisha hela yako anaila kwa uchungu...yaani akishavua chupi mgegede mpaka basi alafu never respect a woman that is constantly asking for money.
 
Katika hili kwa uwelewa wangu mdogo ni kuwa, rizki ya nyumba inatoka kwa Mungu na anaweza kuileta kwa kupitia mikono ya mwanamke. Kama mwanamke unakipato kikubwa kuliko mume wako, inabidi umsaidie kwa uwezo wako, ikiwezekana unachangia 70-80% ta budget ya nyumba, inayobaki unamwachia mwanaume.

i like you mubasharaaaaaa nice meseji
 
Si mnasema tuliumbwa kwa ajili yenu? Basi mtuhudumie tu kaka.
Pesa ya mwanamke ni ya mwanamke ila ya mume ni ya wote.
 
Kwani hujui ile hesabu inasema mwanamke akiwa na sh 500 na mwanaume akawa na sh 200.. jumla ya pesa mlizo nazo ni sh 200..

pesa ya mwanamke si ya kupigia hesabu kabisa.. hiyo ni pesa yake ila pesa yako ni yenu..

Ni jukum la sisi wanaume kuwa hudumia wake zetu licha ya kua wana pata kipato kikubwa au kidogo zaidi yetu.. ndio ilivyo..

Ila mwanamke kwa mapenz yake ana weza kusaidia majukumu kwa kipato chake, au aka kubali kukusaidia jambo flani kama mme wake, rafiki ake, na SIO LAZIMA WALA SIO SHERIA..NI KWA HIARI YAKE YEYE KAMA YEYE..

Inapotokea kua ana hitaji kitu, we hauna na ana uwezo wa kujihudumia, kama kwel mna uhusiano mzuri bas uwe na ulimi mtamu kwa mwenzako, kauli nzuuuri, utaona matunda yake..Ikishindikana bas kutakua na tatizo baina yenu, kuna kitu kitakua hakipo sawa..

Hizi ndio expensies za kua baba.. unapo sikia baba ndio kiongozi, ndio mkuu wa familia haya ndio majukum yake.. ifike mahali wanawake pia watumie hekima kuheshim wanaume zao na kuwa tendea mazuri sio kuwa stress

PESA YA MWANAMKE NI HIARI YAKE KUITUMIA KWENYE MAJUKUMU YA MWANAUME SIO LAZIMA WALA SIO SHERIA.. ILA PESA YA MWANAUME INA SHARE YA MWANAMKE
 
Kwa busara nikizojifunza humu,niliamua kutojihusisha na kipato chake hata shilingi mia,nakomaa mimi kama mimi kuleta mkate mezani,najua nikihoji pesa zake tutagombana tu! Hawa viumbe wa ajabu sana! Huyu wangu aibu hana kabisa,hadi dawa ya meno ananiomba
Pole mkuu
 
Back
Top Bottom