Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,322
- 159,436
Pesa na penzi la kweli.hivi mwanaume akikupenda wewe lazima akpe nini?
Pesa au penzi la kweli?
Pesa na penzi la kweli.hivi mwanaume akikupenda wewe lazima akpe nini?
Pesa au penzi la kweli?
mkuu unakuta wengine wako vzuri sana kiuchumi na hawana wanapoomba zaidi ya wao kutoa ila cha ajabu hawezi kukusaidia baadhi ya majukumuMimi mwanamke hatakama ananizidi kipato mara 10, akiomba ninayo nampa...
Nikikaa na mwanamke miezi mitatu ajaomba ela roho hua hairidhiki, nahisi kuna sehem anaomba.
Wanawake wanajitahidi sana katika hilo,taabu iko upande huo mwingine.'Tutaishi katika shida na raha'
Hayo maneno sijui kama wanayazingatiaga hawa wanawake
Wengine hawaombi hovyo mpaka unamwambia baby nimekutumia 100,000
Katika hili kwa uwelewa wangu mdogo ni kuwa, rizki ya nyumba inatoka kwa Mungu na anaweza kuileta kwa kupitia mikono ya mwanamke. Kama mwanamke unakipato kikubwa kuliko mume wako, inabidi umsaidie kwa uwezo wako, ikiwezekana unachangia 70-80% ta budget ya nyumba, inayobaki unamwachia mwanaume.
Nyoka_mzee hawa viumbe ni wakukaa nao kwa akili sana...mkuu unakuta wengine wako vzuri sana kiuchumi na hawana wanapoomba zaidi ya wao kutoa ila cha ajabu hawezi kukusaidia baadhi ya majukumu
hahahaha umenifanya nicheke mkuu kwa sautiii...Nyoka_mzee hawa viumbe ni wakukaa nao kwa akili sana...
Usiwape nafasi ya kukuona unashida... Akiomba ela kama sina ntakopa! Sipendi dharau kabisa
Niliachwa kisa vocha
Wengine wanampa mume mshahara wote.
PM namba yakoNitumie na mimi!
Poa mkuu!PM namba yako