Hivi kwanini wanaume tunapogundua huwa moyo unataka kuchomoka?

Nyamayao kusema ukweli mapenzi si ushindani kama umeona sikufai, siko class moja na wewe kwa nini usiseme tu ukweli niambie itaniuma but baadae nitakuheshimu kwa kuniambia ukweli. Sasa makejeli na kashfa ni za nini? Mie huwa nina rule moja... Akikuacha kwa kashfa na kejeli kaa kimya nguvu zielekeze kwenye maendeleo kama hukuwa na kazi tafuta kazi, kama ulikuwa unajenga zama ukiibuka nyumba imekwisha yaani tafuta kitu cha kukucompensate (But not new relationship- maana unahitaji muda wa kuyameza hayo makashfa na kuyapuuzia). Kama ulikuwa hujui kupendeza, kula vizuri, enjoy life do all that uone.

Wanaume wengine hawajafundwa kama ulivyosema nyamayao.


hapo umenena MJI kuna watu dharau kejeli midomo bwatuuu siko zote sijui wameumbwaje mahusiano mapya hayana maana ni kupiga kazi kula raha na kupendeza tu
 
Hapo sasa halafu hawa wanaoondokaga kwa ving'ora na matarumbeta ya mbwembwe ndio hurudigi kama vinyau vilivyonyeshewa na mvua.

lipo lipo tu, kila kukicha kuoa na kuacha, kazaa na huyu mara yule kesho amemwacha, anasema hajapata/hatapata mwanamke aliekuwa amepangiwa na muumba zaidi ya nyamayao, mschwee! halafu cjui kwanini watu msiachane kistaarabu hata kesho mkikutana japo msalimiane/mbadilishane mawazo, kuna kusaidiana hapa na pale, mie bfrnd wangu alieniingiza kwenye huu ulimwengu ni mtu ambae tunaheshiminiana sana, mtu ambae anaweza kunisadia/kunishauri hapa na pale, hayo ndio maisha, sio mmevuana magagulo leo mnaonana kama panya na paka.
 
yan maty acha tu
niliona ilo wakati tupo 3rd yr pale udsm ahh jamaa akambwaga shoga yangu kwa mbwembwe nakwambia dahh yan bmkubwa alilia saana cz alikuwa mtiifu sana kw jamaa si wa kujirusha si wa kwenda disko akitoka sana kaenda makuburi kansani...bt jamaa mara npo hil pak mara daruso mara udasa mpk saa 8 za usiku kumbe yupo blok a mabibo hstl ana...na mtu mwngine....mwsho wa siku akamtamkia shost ahh we ka vp seeeepa tu tena sepa mazima sikutaki ata kukuona ..nanajua uwez pata men mwngine.... na utafeli tu...na lazima utakwama cz we mshamba tu...bibie akasema tawile...ahh ile majibu kutoka mwaya jamaaa akapata sapu na akashndwa kuisafisha ahh sa ikawaje...ajagraduate mpk nw..bibie akapata job afta chuo then akapata mdume mwngne tena mdume wa ukweli si kinyangaruka km kile..anajua kupenda na kila kitu kimo...saasa yule jamaa anambwela mbwela tu anaishia tu kutoa maneno mbovu lakin bibie hana hiyana anamtumiaga vivocha vocha...bt mapenz noooo!!!!!!!!!!!!

wanawake nyinyi sometimes huwa siwaelewi kabisa!ukiwa nae unamwita majina matamu sana tu, handsome wangu, my sweet, honey, la aziz n.k. lakini akikumwaga tu huchelewi kumbatiza jina jingine kama hilo la kinyangaruka!
 
Aaaa wapi hivi unavyofikiri c inakuwa imeshakatika miaka kadhaa hapo bado tu cjapata rungu lingine? mbona ya kuchakachua yako mengi tu ninchofanya ni kuwaza niliite lipi leo kuliko kurudi kwako na tayari umeshafulia

Alaaaa kumbe mbona likianza kugonga kuta mbili utachukua simu na kupiga mwenyewe no matter jinsi gani mnavyokasirika na kutuchukia lakini kile kipago chenu cha manati Y mtu akiidhinishwa mnasahau yote na mnatuita majina yote duniani
 
Hapa binti akipata rungu la kisawasawa na hilo lungu likawa linamtendea haki binti ukimuacha wewe basi yeye ndio ataumia akianza kufikiria jinsi ulivyokuwa unamchapa na rungu kisawasawa mbona lazima ageuke arudi kulifuata, litumie rungu lako ipasavyo twanga kote kote

mpwa upo!!!!!!!??umenitonesha uliposema twanga kote kote, na hiyo ndo dawa tu!
 
Ukilikumbukaaaaa??????????????? wakati lilishakumiminia na unatembea na maji yake mpaka leo ndo yameongeza protini mwilini mwako na kukufanya uliye naye akupende

mwanaume aliefanikiwa kuniongezea hizo unazoita protein ni huyu nimuitae mr.....umenipata?
 
wanawake nyinyi huwa mnanishangaza sana, ukiwa na mshikaji unamwita majina yote yaliyo matamu ulimwenguni.... oooh handsome wangu, honey, sweet n.k. lakini akikubwaga tu unamwita kinyangaruka!sijui tuwaeleweje tu.

Kwi kwi kwi kwi!!!!!! MKUKI KWA NGURUWE KWA BINADAMU MCHUNGU
 
mpwa upo!!!!!!!??umenitonesha uliposema twanga kote kote, na hiyo ndo dawa tu!
Pole sana, baradhuli gani alikupiga kotekote? manake hiyo inategemea na size ya mtarimbo. Pole sana dada yangu!:llama::llama::llama:
 
mwanaume aliefanikiwa kuniongezea hizo unazoita protein ni huyu nimuitae mr.....umenipata?

hahaaaaaaaaaaaaaaaa kuna protein nyingine huwezi chakachua hata ukinawa vipi zinashikana nawewe tu balaaa
 
Nyamayao kusema ukweli mapenzi si ushindani kama umeona sikufai, siko class moja na wewe kwa nini usiseme tu ukweli niambie itaniuma but baadae nitakuheshimu kwa kuniambia ukweli. Sasa makejeli na kashfa ni za nini? Mie huwa nina rule moja... Akikuacha kwa kashfa na kejeli kaa kimya nguvu zielekeze kwenye maendeleo kama hukuwa na kazi tafuta kazi, kama ulikuwa unajenga zama ukiibuka nyumba imekwisha yaani tafuta kitu cha kukucompensate (But not new relationship- maana unahitaji muda wa kuyameza hayo makashfa na kuyapuuzia). Kama ulikuwa hujui kupendeza, kula vizuri, enjoy life do all that uone.

Wanaume wengine hawajafundwa kama ulivyosema nyamayao.

halafu huyu ***** wangu alikuwa na yale matambo sasa, alikuja kutembea na frnd wangu wa karibu sana, kwa madai ya kumuoa, hicho kitendo kiliniumiza sana, nilisema ctaki mwanaume tena, baada ya rafiki kutelekezwa anakuja kulia msamaha, ooohh alipitiwa, ooohh fulani alinirubuni kaniharibia undugu wetu, wakati ule wakiitana sweet alikuwa hayaoni hayo....
 
Alaaaa kumbe mbona likianza kugonga kuta mbili utachukua simu na kupiga mwenyewe no matter jinsi gani mnavyokasirika na kutuchukia lakini kile kipago chenu cha manati Y mtu akiidhinishwa mnasahau yote na mnatuita majina yote duniani

Mbona hata nyinyi cku hizi mnakaa huo mkao wa Y nakusikilizia starehe na ukitoka hapo unazunguka na unarudi tena huku huku inaelekea unaowapata wewe wanasikiliziaga kwako tu. Sema cku hizi nimestaafu haya mambo ningepanga mechi na wewe
 
Mbona hata nyinyi cku hizi mnakaa huo mkao wa Y nakusikilizia starehe na ukitoka hapo unazunguka na unarudi tena huku huku inaelekea unaowapata wewe wanasikiliziaga kwako tu. Sema cku hizi nimestaafu haya mambo ningepanga mechi na wewe

sitaki kumsemea mpwa Finest, lakini kwa hili ntasema!siku zote mwanamke ayepepeta sana maneno ujue hamna kitu hapo, yaani hamna starehe hapo!kikubwa ni kujichafua tu na kutiwa shombo tu!sidhani kama Maty hiyo mechi na mpwa wangu utaiweza, maneno yako yanadhihirisha wazi!
 
mwanaume aliefanikiwa kuniongezea hizo unazoita protein ni huyu nimuitae mr.....umenipata?

Nimekupata kwani nimekuomba na umeshanipa????????? Unatembea na maji ya wengim kabla ya huyo na ndiyo yaliyokunonesha na kupendwa na huyo
 
Back
Top Bottom