Yaani ndipo huwa nashangaa.... but kwa mara nyingi wanasema mwanamke akitoka nje ya mahusiano ina maana kuna anachomiss toka kwa mpenziwe so badala ya kukimbilia kumwacha jaribu kujichunguza ulipoteleza...... (najua mtasema si angesema!) But ukweli ni kuwa wengi wenu huwa hamtaki kuambiwa mnatuchukulia kuwa we are nagging too much....
So jaribu kufikiria chanzo kabla ya kuchukua maamuzi ambayo yatakucost hapo baadae.
Kutoka Nje tabia tu Mwanajamii One, mapenzi yanahitaji mawasiliano bora kw pande zote. Ukikaa kimya na unaona kuna udhaifu ni kosa pia unakuwa umelifanya. Mweleze mwenzi wako na muyazungumze kupata suluhisho.Unadhani kutoka nje ni soln au kuzidi kuifanya situation kuwa worse zaidi? Kuachana siyo sululu na hata km mkiachana si lazima uliyeacha ndo ile kwako.