Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Wadau mara nyingi nimekuwa nikifuatilia kipindi cha dakika 45 cha itv......ambacho wanasiasa wengi huwa wanaojiwa ila tokea nimeeanza kuangalia wanasiasa wa chadema mbona sioni wakiwa wanaojiwa kwani sifa ya mtu kuzungumza ni ipi maana naonaga ni vyama viwili tuuu......hivi wadau tunaomba mtujuzee