Hivi kwanini tunafikiri kufanya mapenzi kabla ya ndoa ni vibaya?

Unajua nimekua nikitafakari kidogo bila kupata jibu linaloniridhisha.
Hivi ni kwanini tumejiwekea utaratibu na kukubali kwamba tendo la mapenzi baina ya wa wazima wawili, waliokubaliana na hawako katika ndoa ni baya?

Wapi kuna tatizo la mimi kupendana na kuonyeshana ishara ya mapenzi yangu na mabinti wengine kadri navyoweza kupanua upana wa mapenzi yangu?

As long as the people invloved are not married and have thus not taken any vow or promise to be in a monogomous relationship, I think it is immensely unfair and unfounded for to place negative labels on the free lovers of this world.

Haumizwi mtu, halazimishwi mtu, tunaanza kwa furaha, tunatenda kwa furaha zaidi na kumaliza kwa furaha zaidi. Unajua hata ile amri ya usizini katika dini zetu za kikristo na kiislamu ilikua ikimaanaisha usitende tendo hili na mtu aliye oa au olewa.
But there is nothing wrong if the act is between two healthy consenting adults!!

Umeamka salama? Nahisi umepungukiwa
 
Sijui hata nichangie nini,ngoja niendelee kuwasikiliza labda ntapata pa kuanzia
 
Hiyo premise yako yenyewe sio kweli.
Ni wangapi wanaamini sex sio sawa
kati ya watu ambao hawajaoana?
 
niliwahi kuambiwa hapa JF amri ya sita inasema ''usizini'' meaning ukiwa married usitoke nje ya ndoa na kwenda kwa mwingine. uki-doo b4 ndoa sio against amri ya sita so its okay. unfortunately sijui greek so I cant read the untranslated bible version. naombeni kueleweshwa na wanajamii
 
Unajua nimekua nikitafakari kidogo bila kupata jibu linaloniridhisha.
Hivi ni kwanini tumejiwekea utaratibu na kukubali kwamba tendo la mapenzi baina ya wa wazima wawili, waliokubaliana na hawako katika ndoa ni baya?

Wapi kuna tatizo la mimi kupendana na kuonyeshana ishara ya mapenzi yangu na mabinti wengine kadri navyoweza kupanua upana wa mapenzi yangu?

As long as the people invloved are not married and have thus not taken any vow or promise to be in a monogomous relationship, I think it is immensely unfair and unfounded for to place negative labels on the free lovers of this world.

Haumizwi mtu, halazimishwi mtu, tunaanza kwa furaha, tunatenda kwa furaha zaidi na kumaliza kwa furaha zaidi. Unajua hata ile amri ya usizini katika dini zetu za kikristo na kiislamu ilikua ikimaanaisha usitende tendo hili na mtu aliye oa au olewa.
But there is nothing wrong if the act is between two healthy consenting adults!!

Naona ume-edit, kwenye red hapo badala ya ndoa ukaandka mapenzi, safi lakini ukweli ni uleule, si vyema kufanya mapenzi na mtu usiyemuoa, usiye naye kwenye ndoa!!!!!!!
 
Back
Top Bottom